Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Korea Kusini wafadhili ujenzi mtambo bayogesi Monduli

TAASISI ya Wanasayansi Wahandisi Wasio na Mipaka (SEWB) ya Korea Kusini imefadhili ujenzi wa mtambo wa kuzalisha gesi asilia ya…

Soma Zaidi »

Sekondari 52, Veta moja zawekewa nishati safi

SERIKALI imezindua awamu ya kwanza ya mradi wa kusambaza nishati safi ya kupikia katika taasisi  zinazohudumia watu zaidi ya 100.…

Soma Zaidi »

Waziri Ndejembi, Balozi wa Oman wajadili mafuta, gesi

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Saud Al-Shidhani yaliyolenga kuimarisha na…

Soma Zaidi »

Bodi ya STAMICO yaahidi neema mgodi wa STAMIGOLD

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Balozi Simon Sirro amesema bodi inafuatilia na kutatua…

Soma Zaidi »

Balozi Sirro aridhishwa maendeleo migodi ya STAMICO Geita

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Balozi Simon Sirro ametembelea baadhi ya miradi ya…

Soma Zaidi »

Tanzania, EU kushirikiana thamani ya madini

UMOJA wa Ulaya (EU) umeonesha nia ya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika mnyororo wa thamani wa madini. Mnyonyoro huo ni…

Soma Zaidi »

Burkina Faso yaja Tanzania kujifunza Sekta ya Madini

TANZANIA imeendelea kuimarisha na kuthibitisha nafasi yake kama kitovu cha maarifa na uzoefu katika usimamizi na uendeshaji wa Sekta ya…

Soma Zaidi »

Bukombe: Shughuli za uchimbaji zarejea Msasa

GEITA: SERIKALI imeruhusu shughuli za uchimbaji kuendelea katika mgodi wa Msasa wilayani Bukombe baada ya kubaini idadi kubwa ya wachimbaji…

Soma Zaidi »

Mambo yaiva uchimbaji visima 3 vya gesi asilia Mtwara

Mtwara: Maandalizi ya uchimbaji wa visima vitatu vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay kilichopo mkoani Mtwara yamekamilika kwa…

Soma Zaidi »

Tanzania, Korea kushirikiana teknolojia ya madini

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ikiwa ni utekelezaji wa Madini Vision 2030, imewezesha kuanzishwa kwa mradi wa ujenzi…

Soma Zaidi »
Back to top button