Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Nicole afunguka urafiki na Wolper

DAR ES SALAAM : MSANII wa video na mrembo maarufu, Nicole Joyberry, ameandika ujumbe wa upendo na shukrani kwa rafiki…

Soma Zaidi »

Kilio cha Zuchu baada ya CHAN 2025

DAR ES SALAAM : MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Zuhura Othman maarufu kama Zuchu, ameibuka na malalamiko mazito baada…

Soma Zaidi »

Madereva TZ kushiriki mashindano ya magari Afrika

MOROGORO: MADEREVA 23 kutoka mataifa mbalimbali duniani wakiwemo Watanzania wamethibitisha kushiriki mashindao ya mbio za magari barani Afrika yanayofahamika kwa…

Soma Zaidi »

Simbu aiheshimisha Tanzania, Samia ampongeza

RAIS Samia Suluhu Hassan amempongeza mwanariadha, Alphonce Simbu kwa kuiwezesha Tanzania kupata medali ya kwanza ya dhahabu katika Mashindano ya…

Soma Zaidi »

JKCI yaadhimisha miaka 10 kwa bonanza la michezo

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imefanya bonaza katika kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwa taasisi…

Soma Zaidi »

Maombi ya Mavokali yagusa mashabiki

DAR ES SALAAM : MSANII wa Bongo Fleva, Benjamin Mwenda maarufu kama Mavokali, ameacha gumzo mitandaoni baada ya kushiriki maombi…

Soma Zaidi »

Kolabo ya Amawele yarejea kwa kishindo

DAR ES SALAAM : WIMBO maarufu Amawele uliorekodiwa na wasanii Marioo, Tyla na Ch’cco mnamo Desemba 9, 2022 kupitia albamu…

Soma Zaidi »

Ndoa ya Nandy,Billnass bado kitendawili

DAR-ES-SALAAM : MSANII wa Bongo Fleva William Lyimo maarufu kama Billnass amekanusha tetesi zilizoenea mitandaoni kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake…

Soma Zaidi »

Leonardo: Simu ya mpenzi sio mali yangu

DAR-ES-SALAAM : MSANII maarufu wa vichekesho nchini Tanzania, Leonardo Datus, anayefahamika zaidi kwa jina la kisanii Leonardo, ameibua mjadala mkali…

Soma Zaidi »

Simba 2025/26

DAR ES SALAAM; Kikosi cha timu ya Simba ya Dar es Salaam msimu wa mwaka 2025/26. (Picha kwa hisani ya…

Soma Zaidi »
Back to top button