Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mwelekeo mpya wa habari za michezo nchini

DAR ES SALAAM: Kandanda nchini Tanzania ni ligi tofauti ya kitaaluma, ambayo imekuwa ikishughulikiwa na wanahabari tangu 1930. Watazamaji hawawezi…

Soma Zaidi »

Mgera FC yaweka rekodi, yanyakua mil 10/- Vunjabei Cup

IRINGA: Uwanja wa Shule ya Msingi Mlandege ulilipuka kwa shangwe. Ilikuwa dakika ya 72 tu—dakika inayoweza kuandikwa kwa herufi za…

Soma Zaidi »

Rihanna apata mtoto wa kike

MWANAMUZIKI nyota wa muziki wa Pop duniani, Rihanna, amejaaliwa mtoto wake wa tatu, binti, na mpenzi wake A$AP Rocky, nchini…

Soma Zaidi »

Dodoma Jiji FC yapata mdhamini msimu mpya wa ligi

SHINYANGA: KAMPUNI ya Jambo Food Products (JAMKAYA ) imeeleza kusaidia vijana katika kukuza michezo nchini baada ya kutia saini mkataba…

Soma Zaidi »

NIT Kufunga taa uwanjani kuimarisha mazoezi

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Dk Prosper Mgaya, amesema uwanja wa michezo wa chuo…

Soma Zaidi »

Kenya yashinda mara mbili Berlin Marathon

BERLIN: WANARIADHA wa Kenya wameibuka washindi katika mbio za 51 za Berlin Marathon kwa upande wa wanaume na wanawake, ingawa…

Soma Zaidi »

Nandy avunja ukimya kuhusu ndoa yake

MTANDAONI : MSANII nyota wa Bongo Fleva, Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, amevunja ukimya kufuatia tetesi za kuwepo kwa mgogoro…

Soma Zaidi »

Vita ya Gyokeres na Haaland pale Emirates

ENGLAND: Ni vita ya washambuliaji wawili tishio, Viktor Gyokeres wa Arsenal na Erling Haaland wa Manchester City, ambapo leo watakutana…

Soma Zaidi »

Geay atakiwa kuibeba Tanzania riadha Berlin

UJERUMANI: BALOZI wa Tanzania, nchini Ujerumani, Hassan Mwamweta amemtaka mwanariadha, Gabriel Geay na wenzake kuiwakilisha vyema Tanzania katika mashindano ya BMW…

Soma Zaidi »

ALPHONCE SIMBU: Avunja mwiko wa miaka 39 bila dhahabu

BAADHI ya vichwa vya habari vya magazeti mbalimbali ya Tanzania tangu mwanzoni mwa wiki vimesomeka hivi; ‘Simbu aweka rekodi mpya…

Soma Zaidi »
Back to top button