Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

BMT yagharamia wachezaji 20 mashindano ya Dunia

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limegharamia wachezaji 20 wa mchezo wa ngumi na Kabadi kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania…

Soma Zaidi »

Kivumbi Samia Women Super Cup 2025

VUMBI litatimka wakati wa mashindano ya Samia Women Super Cup iliyopangwa kufanyika mapema mwezi ujao ikihusisha klabu za JKT Queens,…

Soma Zaidi »

Minziro: Tunawaheshimu Yanga, wasituchukulie poa

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Fred Felix Minziro, amesema timu yake inatambua changamoto ya kucheza dhidi ya timu kubwa kama…

Soma Zaidi »

Dullah Mbabe nusura azichape kavukavu

DAR ES SALAAM; BONDIA wa ngumi za kulipwa Abdallah Pazi ‘Dulla Mbabe’, nusura azichape kavukavu na bondia kutoka Zambia, Mbachi…

Soma Zaidi »

Simba yatangaza vita ya ubingwa

TIMU ya Simba imekuja na kampeni ya kutafuta pointi 30 katika michezo 10 iliyobaki kushinda ubingwa Ligi Kuu Tanzania Bara.…

Soma Zaidi »

Yanga ubingwa, Pamba kisasi

YANGA watakuwa wageni wa Pamba Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza leo. Wakati…

Soma Zaidi »

Arteta awalilia Saka, Martinelli

LONDON, MENEJA wa Arsenal Mikel Arteta amesema anatumaini winga wake ukayo Saka na mshambuliaji Gabriel Martinelli watarejea kikosini kutoka majeruhi…

Soma Zaidi »

Kamwe: Hatutaki presha ‘Kariakoo Derby,’ tunajikita kwa Pamba

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, ameweka wazi kuwa timu yake haitaki kujiwekea presha kwa kufikiria zaidi mchezo…

Soma Zaidi »

Twiga safi Wafcon

TWIGA Stars imefuzu hatua ya pili ya kufuzu Mataifa ya Afrika (WAFCON 2026) licha ya kutoka sare ya kufungana bao…

Soma Zaidi »

Ni Amir Matumla dhidi ya Amavila wa Namibia

BONDIA Amir Matumla anatarajia kupambana na bondia kutoka Namibia Paulus Amavila katika pambano lisilokuwa la ubingwa la Knockout ya Mama…

Soma Zaidi »
Back to top button