Bunge

Prof Mkumbo: Rais anaenda nje kutafuta fursa, sio misaada

DODOMA: Rais Samia Suluhu Hassan anaendelea kufanya ziara za nje kwa lengo la kutafuta fursa za biashara na uwekezaji badala…

Soma Zaidi »

Pato la mtanzania mmoja lafikia Mil.3.5

WASTANI wa pato la taifa kwa mtu mmoja mmoja nchini umeongezeka kwa asilimia 7.4 na kufikia shilingi 3,544,124 sawa na…

Soma Zaidi »

Mafanikio Serengeti Boys yatinga bungeni

DODOMA; MBUNGE wa Bunda Mjini, Amos Bulaya muda huu anawasilisha hoja bungeni kuhusu Azimio la Bunge kuipongeza timu ya Taifa…

Soma Zaidi »

Mbunge ahoji serikali inatoa elimu bure au elimu bila ada

DODOMA;Mbunge wa Tarime Mjini, Mwita Waitara, ameuliza bungeni kama serikali inatoa elimu bure au inatoa elimu bila ada. Akijibu swali…

Soma Zaidi »

Wabunge walia uvamizi maeneo ya wazi, michezo

DODOMA; Wabunge wameishauri serikali kuweka mikakati ya kurejesha maeneo yote ya wazi yaliyovamiwa na kuhakikisha kuwa inasimamia kikamilifu utengaji na…

Soma Zaidi »

Migogoro ya ardhi 5,573 yatatuliwa

DODOMA; Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo, amesema hadi Mei 15, 2026, jumla ya migogoro…

Soma Zaidi »

‘Lipeni kodi ya ardhi kuepuka kuepuka kufutiwa umiliki’

DODOMA; Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Leonard Akwilapo, ametoa rai kwa wamiliki wote wa ardhi nchini…

Soma Zaidi »

Wizara yajivunia taswira, heshima ya Tanzania kimataifa

DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imesema kufuatia utekelezaji wa vipaumbele vya wizara na kwa…

Soma Zaidi »

‘Msimamo wa Tanzania ni kutofungamana na upande wowote’

DODOMA; WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema  Tanzania inaendelea kudumisha misingi…

Soma Zaidi »

Wizara yasifu hali ya amani, utulivu

DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imesema Tanznaia imeendelea kuwa na hali ya amani na utulivu kutokana na…

Soma Zaidi »
Back to top button