Siasa

Tamisemi yaweka wazi gharama Uchaguzi Serikali za Mitaa

DODOMA —Ofisi ya Rais – TAMISEMI imeweka wazi matumizi ya Sh bilioni 254.82 kwa ajili ya kuratibu na kusimamia Uchaguzi…

Soma Zaidi »

TAMISEMI yaomba Sh trilioni 11.78 Bajeti 2025/26

Sh trilioni 1.45 ni fedha za nje, zikiwa na lengo la kuendeleza miradi ya kimaendeleo katika maeneo mbalimbali.

Soma Zaidi »

Tanzania kuongeza ushirikiano na EU

BRUSSELS, Ubelgiji – Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameendelea na juhudi…

Soma Zaidi »

CCM yasogeza mbele uteuzi wa Wagombea 2025

Hii ni tofauti na ratiba ya awali iliyotangazwa kupitia taarifa ya Aprili 10, 2025.

Soma Zaidi »

Tanzania, Guinea Ikweta kuimarisha diplomasia

RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewasilisha ujumbe maalumu wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa Serikali ya Guinea ya Ikweta…

Soma Zaidi »

Ado afungua mafunzo viongozi wa majimbo

DODOMA: KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amefungua mafunzo ya viongozi wa majimbo ya Kanda ya Kati mjini…

Soma Zaidi »

CCM yavuna wanachama wapya Lindi

LINDI: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuvuna wanachama wapya katika mkoa wa Lindi ndani ya wilaya mbili ambao wamelezwa kutoka…

Soma Zaidi »

THRDC yataka mazingira bora kuelekea Uchaguzi Mkuu

DAR ES SALAAM: MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umetoa mapendekezo matatu muhimu kuhusu umuhimu wa kuafikiwa…

Soma Zaidi »

Kongamano la Uongozi Afrika lataka mtazamo mpya utekelezaji SDGs

KAMPALA, UGANDA: Katika Kongamano la 8 linaloendelea la Uongozi la Afrika (ALF), viongozi hao wamehimiza matumizi ya fursa hiyo na kuweka…

Soma Zaidi »

Wasira amjibu Zitto kuhusu vikao CHADEMA

SIMIYU; MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjibu kiongozi mstaafu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kuwa CCM…

Soma Zaidi »
Back to top button