Siasa

Ilani ziwe mwongozo wa kampeni uchaguzi mkuu

MEI 30, mwaka huu wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa wamepitisha na kuzindua rasmi ilani ya…

Soma Zaidi »

Wizara ya Fedha yaomba kuidhinishiwa Sh Tril.20

DODOMA; WIZARA ya Fedha imewasilisha mafungu nane ikiomba kuidhinishiwa kiasi cha Sh trilioni 20.19 kwa mwaka wa fedha 2025/26 kwa…

Soma Zaidi »

Raia nchi 71 ruksa kuingia Tanzania bila viza

DODOMA; RAIA wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia Tanzania, Bunge limeelezwa. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula ametoa…

Soma Zaidi »

Serikali yaeleza mpango kukabili majanga ya moto

DODOMA; SERIKALI imesema mpango wake ni kusambaza magari ya zimamoto na uokoaji kwa wilaya zote nchini kwa ajili ya kukabiliana…

Soma Zaidi »

Mbunge ahoji CAG aagizwe akague Saccos ya Polisi

DODOMA; MBUNGE wa Ndanda, Cecil Mwambe ameuliza swali bungeni kwa ni Serikali isiagize Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za…

Soma Zaidi »

Mjumbe Moro aipongeza CCM Ilani bora 2025

DAR ES SALAAM: MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Taifa kutoka Mkoa wa Morogoro Mjini, Dk Ally Simba…

Soma Zaidi »

DC wa Monduli atangaza kugombea ubunge Isimani

IRINGA: Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Festo Kiswaga, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea ubunge katika Jimbo la Isimani, Mkoa…

Soma Zaidi »

Sheria Bima ya Afya kwa wote kuanza 2025/26

DODOMA; WAZIRI wa Afya Jenista Mhagama, amesema utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa wote utaanza kwenye bajeti ya…

Soma Zaidi »

‘Tutapambana kuhakikisha mifumo hospitali isomane’

WAZIRI wa Afya Jenista Mhagama, amesema wizara yake itapambana kuhakikisha mifumo ya vipimo vinavyofanywa kwa wagonjwa visomane katika hospitali zote…

Soma Zaidi »

Mbunge ahoji mkakati afya bure kama ilivyo elimu

DODOMA; MBUNGE wa Donge, Soud Mohammed Jumah, amehoji bungeni, serikali ina  mkakati gani kuweka huduma za afya bure kama ilivyo…

Soma Zaidi »
Back to top button