Utalii

NCAA waja na mbinu mpya kuvutia watalii

KATIKA kuhakikisha wanavuka malengo ya watalii wa ndani Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imekuja na mbinu mpya ya kuwavutia…

Soma Zaidi »

TFS watakiwa kuimarisha misitu kuvutia watalii

WAKALA wa Misitu Tanzania (TFS) wametakiwa kuimarisha utalii wa misitu Ikolojia kwa kuvilinda na kuviendeleza vivutio hivyo ili kuendelea kuvutia…

Soma Zaidi »

Chana akabidhi malori, mitambo kuboresha uhifadhi

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk Pindi Chana amekabidhi malori matano na mitambo mitano mitano yenye thamani ya Sh…

Soma Zaidi »

Chana azindua bodi chuo cha Mweka

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk Pindi Chana amezindua rasmi Bodi ya Magavana ya Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori…

Soma Zaidi »

Prof Mkenda: Ujuzi nyenzo muhimu sekta ya utalii

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema ni muhimu kuunganisha taaluma na viwanda katika sekta ya utalii…

Soma Zaidi »

 Chana aipongeza TBB kutangaza vivutio vya utalii

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk Pindi Chana ameipongeza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa jitihada za kutangaza vivutio…

Soma Zaidi »

Tanzania, Uturuki kushirikiana utalii

SERIKALI ya Tanzania na Uturuki zimekubaliana kushirikiana kukuza sekta ya maliasili na utalii ili kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchi…

Soma Zaidi »

Tanzania, Marekani zajadili uwindaji njia ya mtandao

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk Pindi Chana amefanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na ujumbe kutoka Idara ya…

Soma Zaidi »

Dk Chana ataka matumizi ya Tehama ukusanyaji mapato

WAZIRI wa Maliasili na Utali, Balozi Dk Pindi Chana amemwagiza Kamishina wa Wakala wa Huduma na Misitu (TFS) Professa Do…

Soma Zaidi »

Kampuni yasaidia vifaa ulinzi wa wanyamapori

Katika kuunga mkono jitihada za Serikali katika ulinzi wa rasilimali za wanyamapori nchini, Kampuni ya Bushman Safari Trackers iliyopo Morogoro…

Soma Zaidi »
Back to top button