Utalii

Ruhila; Bustani ya wanyamapori iliyojaa fursa za uwekezaji, utalii

Katika mwendelezo wa makala za vivutio vya utalii vya Mkoa wa Ruvuma, leo HabariLEO linaangazia Bustani ya Wanyamapori ya Ruhila…

Soma Zaidi »

Sekta ya utalii Tanzania ‘imepaa chini ya mikono’ ya Rais Samia

SEKTA ya utalii nchini Tanzania imeendelea kupata mafanikio makubwa mwaka 2024, jambo linalodhihirisha namna ambavyo juhudi za Serikali ya Awamu…

Soma Zaidi »

Ushindi Tuzo za Afrika uwe chachu kukuza sekta ya utalii

MWISHONI mwa wiki, Tanzania ilikuwa mwenyeji wa Tuzo za 32 za Utalii duniani 2025 maarufu World Travels Awards Kanda ya…

Soma Zaidi »

Wanawake watakiwa nafasi za juu NCAA

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk, Pindi Chana amesisitiza Mamlaka ya (NCAA ) inapaswa kuongeza jicho katika kuhakikisha wanawake…

Soma Zaidi »

Watalii kutoka Qatar kupanda mlima Kilimanjaro

DAR ES SALAAM: Jopo la watalii kutoka Al Wakra Qatar Academy ya nchini Qatar limewasili Tanzania kwa safari yao ya…

Soma Zaidi »

MNAZI BAY: Hifadhi bahari tajiri kwa nyangumi, matumbawe

GHUBA ya Mnazi na Maingilio ya Mto Ruvuma ni hifadhi ya bahari iliyoanzishwa Julai 2000 chini ya Sheria Namba 29…

Soma Zaidi »

Tanzania mwenyeji Tuzo za 32 Utalii

DAR ES SA SALAAM; Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa Tuzo za 32 za Kimataifa za Utalii kwa Ukanda wa Afrika…

Soma Zaidi »

Serikali itusaidie kuipaisha zaidi sekta ya utalii -Beatrice Dimitris

ARUSHA: BAADA ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuifungua sekta ya utalii, wadau na wafanyabiashara wanaendelea kutumia fursa hiyo…

Soma Zaidi »

Mji Mkongwe Mikindani na fahari ya historia muhimu

“Mikindani ni moja ya miji mikongwe inayopatikana katika pwani ya Afrika Mashariki, yenyewe tunaizungumzia hata kabla ya ujio wa wageni.…

Soma Zaidi »

Upekee wa vivutio lukuki Hifadhi ya Lukwika Lumesule

LINDI; Lukwika Lumesule ni moja ya hifadhi za kipekee Tanzania lakini zisizotembelewa na watalii wengi. Naweza kusema ni hifadhi zisizo…

Soma Zaidi »
Back to top button