Year: 2022

Kanda

Visa vya kichaa cha Mbwa vya pungua Singida

VISA vya ugonjwa wa kichaa cha mbwa katika Mkoa wa Singida vimepungua kutoka asilimia 30 mpaka kufikia visa viwili kwa…

Soma Zaidi »
Africa

CAF yaipokonya Guinea ‘uenyeji’ AFCON 2025

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeiondoa Guinea katika nafasi ya kuandaa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 na…

Soma Zaidi »
Afya

Majaliwa ataka wadau washirikishwe kuchangia tiba

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Afya iendelee kuhamasisha taasisi, na wadau kuchangia maeneo muhimu kama ya afya hasa…

Soma Zaidi »
Africa

Kapteni Traore apindua serikali ya Damiba Burkina Faso

KAPTENI wa jeshi nchini Burkina Faso ametangaza kwenye televisheni ya taifa kwamba amempindua kiongozi wa kijeshi Lt Kanali Paul-Henri Damiba.…

Soma Zaidi »
Afya

Daktari wa Tanzania afariki Uganda kwa Ebola

DAKTARI Mtanzania aliyekuwa akisoma nchini Uganda amefariki dunia baada ya kuambukizwa virusi vya Ebola. Anakuwa daktari wa kwanza kufariki kutokana…

Soma Zaidi »
Jamii

Washukiwa watano wa ujambazi wauawa, saba watoroka Iringa

WATU watano wanaodhaniwa kuwa ni majambazi kati ya 12 wamefariki dunia baada ya kujeruhiwa katika majibizano ya risasi na Polisi…

Soma Zaidi »
Afya

Ripoti yafichua rushwa ya ngono inavyowaathiri wanahabari wanawake

RIPOTI ya Haki za Binadamu na Biashara ya mwaka 2021/2022 iliyozinduliwa leo Ijumaa, jijini Dar es Salaam imeonesha kuwa rushwa…

Soma Zaidi »
Picha

HABARI KUU: Septemba 30, 2022

HABARI KUU: Septemba 30, 2022 Mkusanyiko wa Habari Kuu kutoka chumba cha HabariLEO jijini Dar es Salaam leo Septemba  30,…

Soma Zaidi »
Infographics

Bil 233/- za Japan kuwezesha vijana kuwekeza

TANZANIA ni miongoni mwa nchi za Afrika zitakazonufaika na fedha za Mfuko wa Kukuza Uwekezaji barani Afrika kutoka Serikali ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Wadau wataja ya kuzingatia marekebisho sheria ya ndoa

WIZARA ya Katiba na Sheria imeanza kukusanya maoni ya wadau na makundi mbalimbali kwa lengo la kufanyia marekebisho Sheria ya…

Soma Zaidi »
Back to top button