Year: 2023

Tanzania

Bashungwa akagua ujenzi Bugene-Beneco

KAGERA: WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa serikali itahakikisha inamlipa kwa wakati Mkandarasi M/s China Road and Bridge Cooperation…

Soma Zaidi »
Afya

Mume anataka watoto 10, mke amefikisha nusu amechoka kuzaa!

JOSEPHINE Mlay (sio jina lake halisi), mkazi wa Kijiji cha Songambele kilichopo Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, anasema hajui maisha…

Soma Zaidi »
Tanzania

TCU yaongeza siku 5 udahili wa wanafunzi

DSM: TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania ‘TCU’ imeongeza siku tano kwaajili ya udahili kwa muhula wanne kwa wanafunzi  shahada ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Wanafunzi wa kike washauriwa kuziishi ndoto zao

PWANI: WANAFUNZI wa kike wameshauriwa kusoma kwa bidii na kuepuka tamaa zinazoweza kuwasababishia kupata ujauzito na hatimaye kukatiza masomo. Mwanafunzi…

Soma Zaidi »
Tanzania

TET yawasilisha mabadiliko ya mitaala mipya ya elimu

ARUSHA: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) leo Oktoba 13, 2023 imewasilisha mapendekezo ya muundo wa elimu na mabadiliko yaliyopo kwenye…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali kuendelea kushirikiana na mashirika binafsi

ARUSHA: Serikali inatambua mchango unatolewa na mashirika yasiyo ya kiserikali katika kukuza na kulinda haki za binadamu nchini katika kufikia…

Soma Zaidi »
Madini

Serikali yaweka mkakati kutatua mgogoro wa miaka 20

GEITA: SERIKALI kupitia Wizara ya Madini imeweka mkakati wa kuhakikisha inatatua mgogoro wa muda mrefu uliodumu zaidi ya miaka 20…

Soma Zaidi »
Jamii

Wazazi waaswa namna bora ya kuwafunda watoto

DSM: KATIKA kuhakikisha watoto wanapata huduma za malezi, Makuzi na Maendeleo ya awali kadiri ya taratibu za serikali, shirika la…

Soma Zaidi »
Jamii

Polisi: Silaha hairithiwi

PWANI; Kibaha. Usalimishaji silaha za moto kwa hiari unaofanyika nchi nzima umeonesha mafanikio makubwa, ambapo silaha zilizosalimishwa zimeongezezeka kutoka silaha…

Soma Zaidi »
Tanzania

Abuni teknolojia kudhibiti magari kugonga treni

TABORA; MHITIMU wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Alvine Antony amebuni teknolojia itakayozuia ajali kati ya treni na vyombo…

Soma Zaidi »
Back to top button