Year: 2023

Habari Kwa Kina

Mashirika Afrika yataka lugha yenye nguvu udhibiti nishati chafu COP28

WAKATI Mkutano wa Mabadiliko ya tabianchi (COP28) unatarajiwa kufungwa kesho ,Dubai Falme za Kiarabu Mashirika ya Kiraia ya Afrika (CSOs)…

Soma Zaidi »
Africa

Mhasibu Afrika Kusini jela miaka 50 kwa ubadhirifu wa fedha

Hildegard Steenkamp, mhasibu wa zamani wa kampuni ya afya katika jimbo la Gauteng, Afrika Kusini, amehukumiwa kifungo cha miaka 50…

Soma Zaidi »
Africa

Uchumi Msumbiji kukuwa kwa asilimia 5.5 mwaka 2024

MSUMBIJI inaona ukuaji wa uchumi ukiongezeka hadi 5.5% mwaka ujao lakini nakisi ya bajeti yake ikiongezeka hadi 10.4% ya pato…

Soma Zaidi »
Dini

“Mama ni jasiri na sina mashaka naye”- Bagonza

KAGERA: ASKOFU wa Kanisa la Kinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk.Benson Bagonza amesema maamuzi ya kusaka maridhiano…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yapiga jeki utendaji Newala

MTWARA: SERIKALI imekabidhi vitendea kazi mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Newala mkoani Mtwara ili kurahisisha utendaji kazi kwa watumishi…

Soma Zaidi »
Afya

Kumekucha Malinyi! hadi raha

MOROGORO: SERIKALI kuu imeipatia  Halmashauri ya Malinyi, iliyopo mkoani Morogoro gari jipya la kisasa la  kubeba wagonjwa (Ambulance) ukiwa ni …

Soma Zaidi »
Afya

King Kiba atia mkono Prof Jay Foundation

DAR ES SALAAM: Msanii wa Bongo fleva nchini Ali Kiba ‘King Kiba’ ameongoza wasanii wenzake kuchangia taasisi ya Profesa Jay…

Soma Zaidi »
Jamii

TUGHE kuboresha maslahi ya wanachama wake

MOROGORO: Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimesaini Mkataba wa Hali Bora ya Watumishi wake unaolenga kuboresha…

Soma Zaidi »
Siasa

“Bila Kinana kusingekuwa na Bashungwa huyu mnaemjua”

KAGERA:  WAZIRI wa Ujenzi ambae pia ni Mbunge wa Karagwe, Innocent Bashungwa amesema asingefika hapo alipofika kama sio Makamu Mwenyekiti…

Soma Zaidi »
Jamii

Rais Samia anogesha Prof Jay Foundation kwa Sh Mil 50

DAR ES SALAAM: Rais Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh milioni 50 kwa Taasisi ya Profesa Jay Foundation iliyochini…

Soma Zaidi »
Back to top button