Year: 2023

Tanzania

Viongozi wa kimila wamuombea Rais Samia

VIONGOZI wa Mila wa Jamii ya kifugaji ya  Kimasasi maarufu kwa jina la Laigwanani pamoja na viongozi wa dini wilayani…

Soma Zaidi »
Jamii

jando , unyago vyachangia ukatili wa kijinsia

MTWARA: MKOA wa Mtwara umetajwa kuwa miongoni mwa mikoa inayochangia kwa kiasi kubwa ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mbarawa atoa maagizo kwa mkandarasi Bukoba

KAGERA: Waziri wa uchukuzi Profesa ,Makame Mbarawa amemtaka mkandarasi anayetekekeza mradi wa upanuzi wa bandari za Kemondo na Bukoba zilizopo…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Mwandishi HabariLeo ang’ara Tuzo za Sayansi

DAR ES SALAAM: MWANDISHI wa gazeti la HabariLeo, Lucy Ngowi ameibuka kidedea na kuwa mshindi wa jumla katika tuzo ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Gwajima: Pato la taifa linateketea kupambana na ukatili

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima amesema serikali za nchi…

Soma Zaidi »
Jamii

Mikoa 3 vinara ukatili wa Kijinsia

DAR ES SALAAM: MIKOA ya Mara, Kagera na Dodoma imetajwa kuwa kinara wa matukio ya ukatili ikiwamo vipigo, mauaji na…

Soma Zaidi »
Biashara

‘Tuzo za watendaji, wakuu wa kampuni 100 bora kuchochea ufanisi’

DAR ES SALAAM: TUZO za wakuu na watendaji wa makampuni 100 bora hapa nchini zimetajwa kuwa ni njia sahihi ya…

Soma Zaidi »
Afya

Uzito kwa watoto unaepukika

BAADHI ya wazazi wa kata ya Busangi halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga wameshauriwa kuwapatia watoto wao vyakula vyenye mchanganyiko ili…

Soma Zaidi »
Fursa

Vijana Afrika Mashariki wasogezewa fursa

ARUSHA: Vijana wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wameaswa kutumia kampuni ya biashara ya kuajiri ya Savanna ili…

Soma Zaidi »
Tanzania

LRCT, kuwafunda Wakurugenzi na Wakuu wa Idara za Halmashauri

KATAVI: TUME ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) imejipanga kutoa elimu ya Sheria kwa Wakurugenzi na Wakuu wa Idara Katika halmashauri…

Soma Zaidi »
Back to top button