Year: 2023

Jamii

Mambo yamenoga miaka 36 ya TAMWA

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 36 ya Chama cha Wanahabari Wanawake  Tanzania (TAMWA).…

Soma Zaidi »
Jamii

Ajali ya basi yaua 14 Lindi

LINDI: WATU 14 wamefariki dunia leo Novemba 26, 2023 katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la Kampuni ya Baraka lililokuwa…

Soma Zaidi »
Biashara

MSD Mlipa Kodi Bora mwaka 2023

DAR ES SALAAM: Bohari ya Dawa (MSD), imetwaa tuzo ya Mlipakodi Bora kwa mwaka 2023 ya Mamlaka ya Kodi Tanzania.…

Soma Zaidi »
Madini

Serikali imeweka nguvu uchumi wa madini

SERIKALI imedhamiria kusimamia sheria ili kuhakikisha Watanzania wengi zaidi wanashiriki kwenye uchumi wa madini kupitia usambazaji wa bidhaa na kutoa…

Soma Zaidi »
Biashara

Tanesco kateni umeme kwa wote wanaodaiwa

ARUSHA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme kwa…

Soma Zaidi »
Jamii

Mkulima jela miaka 20 kwa kukutwa na viungo vya sokwe

JEREMIA Ngendabanka mkulima na mkazi wa Kijiji cha Buhingu, Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Tanzania yachomoza kimataifa kuogolea

KIGALI; Rwanda, TIMU ya Taifa ya kuogelea ya Tanzania imeshika nafasi ya pili katika mashindano ya 8 Kanda ya Tatu…

Soma Zaidi »
Jamii

Ataka maelezo Sh mil 600 ziivyotumika ujenzi wa shule

ARUSHA; Longido. Naibu Waziri wa Madini Dk  Steven Kiruswa, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Longido mkoani Arusha, amekataa…

Soma Zaidi »
Jamii

Majaliwa atoa maelekezo watendaji wanawake

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, ameagiza kuimarishwa kwa kanzi data ya viongozi na maofisa watendaji wakuu wanawake katika sekta ya umma…

Soma Zaidi »
Tanzania

Rais Samia atengua uteuzi wa Gekul

RAIS Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria, Pauline Gekul kuanzia leo Novemba…

Soma Zaidi »
Back to top button