Year: 2024

Kimataifa

Tinubu awatimua mawaziri watano

NIGERIA : RAIS wa Nigeria Bola Tinubu amewafukuza kazi mawaziri watano na kuwateua wapya saba katika mabadiliko ya baraza la…

Soma Zaidi »
Tanzania

Milioni 400 kukabiliana mabadiliko ya tabianchi

TANGA : KUFUATIA changamoto ya athari ya mabadiliko ya tabia nchi kwenye maeneo ya ukanda wa bahari ya Hindi Wilayani…

Soma Zaidi »
Tanzania

TMA yakabidhiwa rada mbili

DAR-ES-SALAAM : MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekabidhiwa rasmi ya rada zake mbili za hali ya hewa zilizopo…

Soma Zaidi »
Featured

DC Ilala awaonya mikopo kausha damu.

WAJASIRIAMALI wameonywa kutumia mikopo ya kausha damu na badala yake wametakiwa kutumia vizuri mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri kukuza…

Soma Zaidi »
Featured

Viwanja 16 Ligi ya Europa leo

MICHUANO ya Ligi ya Europa barani Ulaya hatua ya ligi inaendelea leo kwa michezo 16 katika viwanja tofauti. Galatasaray ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali kuwekeza vifaa vya kisasa DMI

MKUU wa Chuo Cha Bahari Dar es Salaam (DMI) Dk,Tumaini Gurumo amesema serikali imeona upo umuhimu wa kuongeza jitihada za…

Soma Zaidi »
Featured

Serikali kudhibiti athari mabadiliko tabia nchi

KUFUATIA changamoto ya athari ya mabadiliko ya tabia nchi maeneo ya Ukanda wa Bahari ya Hindi wilayani Mkinga serikali inatarajiwa…

Soma Zaidi »
Featured

Juma Mgunda kocha mpya Namungo

TIMU ya Namungo imemtangaza Juma Mgunda kuwa Kocha Mkuu mpya wa klabu hiyo. Taarifa ya Namungo imesema Aliyekuwa Kocha Mkuu…

Soma Zaidi »
Featured

Serikali kuongeza misitu asili kila halmashauri

SERIKALI ina mpango wa kuongeza misitu ya asili kwa kila halmashauri nchini kama njia ya uhifadhi na utunzaji wa mazingira…

Soma Zaidi »
Featured

Mpango awakaribisha wawekezaji nishati jotoardhi

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kushirikiana na Tanzania katika kuwekeza kwenye nishati ya Jotoardhi inayopatikana katika maeneo…

Soma Zaidi »
Back to top button