Year: 2024

Biashara

Wafanyabiashara wakumbushwa kutunza taarifa zao

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka wafanyabiashara mkoani Kagera kutumia mashine  za kielekroniki kwa usahihi (EFD) pamoja na kutunza vizuri…

Soma Zaidi »
Featured

Mradi utafiti mafuta, gesi wafikia 40%

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema Mradi wa Utafiti wa Mafuta ghafi na gesi kwenye Bonde la Eyasi…

Soma Zaidi »
Dini

Mchechu achangisha mil 117.8/- ujenzi wa kanisa

KILIMANJARO : Msajili wa Hazina Nehemiah Mchechu ameendesha harambe iliyowezesha kuchangisha Sh milioni 117.8 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Polisi jela maisha kwa kusafirisha mirungi

KIGOGO wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Msaidizi wa Polisi kituo cha polisi Usa wilayani Arumeru mkoani Arusha, F 21639, John…

Soma Zaidi »
Kimataifa

WHO yatangaza hakuna malaria Misri

MISRI : MKUU wa Shirika la Afya Duniani – WHO, Tedros  Adhanom ametangaza ugonjwa wa malaria Misri utabaki kuwa historia…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Janeth Rithe ajiandikisha uchaguzi mitaa

Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Chama cha ACT Wazalendo, Janeth Rithe amejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa,…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mbio Mount Meru kufanyika Novemba 3

MBIO za Mount Meru zilizokuwa mbio za riadha jijini Arusha kwa miaka ya nyuma sasa zimerejea upya na zinatarajiwa kufanyika…

Soma Zaidi »
Chaguzi

RC Sendiga awahimiza Wahadzabe uchaguzi mitaa

MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameihimiza jamii ya Wahadzabe inayoishi kijiji cha Mongo-Wa-Mono wilayani Mbulu kujiandikisha katika daftari…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Kiongozi ACT ajiandikisha uchaguzi mitaa

KIONGOZI wa Chama Cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amejiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Zoezi hilo limefanyika…

Soma Zaidi »
Chaguzi

Abdul Nondo ajiandikisha daftari za mkazi

MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo leo Oktoba 20 amejiandikisha katika daftari la mkazi kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button