Year: 2026

Featured

TSN kuongeza uelewa wa Umma AFCON 2027

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imepanga kuandaa na kuchapisha makala maalumu zitakazolenga kuhabarisha umma kuhusu michuano…

Soma Zaidi »
Tanzania

Amlilia spika, mbunge amlipe Sh milioni 11 anazodai

IRINGA: Mfanyabiashara wa vifaa vya umeme wa mjini Njombe, Erick Sambala, ameibuka hadharani akiomba msaada wa Spika wa Bunge, Mussa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ufanisi wa taasisi washuka changamoto ukaguzi

DAR ES SALAAM: Chama Cha Wakaguzi wa Ndani (IIA Tanzania) kimesema miongoni mwa changamoto wanazokumbana katika ukaguzi ni viatarishi jambo…

Soma Zaidi »
Afya

Mchengerwa: Bajeti 26/27 izingatie Bima ya Afya kwa Wote

MWANZA: WAZIRI wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amewaagiza watumishi wa afya nchini kuwa bajeti ya mwaka wa fedha 2026/27 inatakiwa kuonyesha…

Soma Zaidi »
Utalii

Miundombinu utalii kuimarishwa AFCON 2027

ARUSHA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo ya utalii ikolojia wameanza kuimarisha miundombinu…

Soma Zaidi »
Featured

Ile jioni ya mechi ndo hiyooo mnune!

DAR ES SALAAM; MECHI ya Simba dhidi ya Yanga Ligi Kuu Tanzania Bara itachezwa Jumapili Mei 3, 2026 kuanzia saa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mwenge kukagua miradi ya Sh bilioni 2 Mikindani

MTWARA: MIRADI ya maendeleo 7 yenye thamani ya Sh bilioni 2 iliyopo Manispaa ya Mtwara Mikindani inatarajiwa kupitiwa na Mwenge…

Soma Zaidi »
Featured

Rais Samia afanya uhamisho wa viongozi

DAR ES SALAAM; RAIS wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi…

Soma Zaidi »
Tanzania

RC Geita awaonya wanaokwamisha watumishi kubadili kada

GEITA: MKUU wa mkoa wa Geita, Martine Shigela amekemea tabia ya waajiri hususani maofisa utumishi wa ofisi za umma kukwamisha…

Soma Zaidi »
Utalii

Utalii wa michezo waibu fursa za kiuchumi nchini

NJOMBE: BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema utalii wa michezo umeendelea kuwa nguzo muhimu ya kuongeza mapato kwa jamii zinazozunguka…

Soma Zaidi »
Back to top button