Year: 2026

Bunge

Spika Zungu aitisha kikao cha dharura

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Azzan Zungu leo Machi 25, 2026, ameongoza kikao cha dharura…

Soma Zaidi »
Jamii

Vijana 100 wanufaika FDC Sikonge

SERIKALI chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kuleta mabadiliko chanya kupitia elimu ya ufundi stadi. Mafanikio hayo…

Soma Zaidi »
Bunge

Vangimembe Lukuvi: Jabali la Siasa Mbunge Mkongwe Aaga Dunia

TANZANIA imepoteza mmoja wa wanasiasa wake wakongwe na waliolitumikia taifa kwa muda mrefu, William Vangimembe Lukuvi, aliyefariki dunia leo, Machi…

Soma Zaidi »
Featured

Waziri Lukuvi afariki dunia

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu…

Soma Zaidi »
Featured

Tanzania, A. Kusini zaweka mkazo ufundishaji Kiswahili

CAPE TOWN, AFRIKA KUSINI: Tanzania na Afrika Kusini zimeongeza juhudi za kutekeleza Hati ya Makubaliano (MoU) ya mwaka 2022 kuhusu…

Soma Zaidi »
Fasihi

Watengeneza maudhui ya Kiswahili kulipwa

SERIKALI imesema imeanza mazungumzo na UNESCO pamoja na Meta Platforms ili kuhakikisha lugha ya Kiswahili inatambuliwa rasmi kwenye majukwaa ya…

Soma Zaidi »
Afya

Kifua Kikuu kinavyoathiriwa na migogoro ya Dunia

KILA mwaka ifikapo Machi 24, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kifua Kikuu, ikiangazia ugonjwa wa kifua kikuu (TB) unaoendelea…

Soma Zaidi »
Tanzania

Makakala: Nidhamu, uadilifu nguzo mafanikio uhamiaji

MOROGORO: KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji, Dk Anna Makakala amesema mafanikio ya idara hiyo yanatengemea kwa kiasi kikubwa nidhamu, uadilifu na…

Soma Zaidi »
Afya

Malima aonya matumizi yasiyo sahihi vyandarua

MOROGORO: MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewaonya wananchi wa mkoa huo wanaotumia vyandarua kwa malengo tofauti zikiwemo kufugia…

Soma Zaidi »
Featured

Serikali yaimarisha upatikanaji mafuta Malawi

DAR ES SALAAM: BANDARI ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi jirani ya…

Soma Zaidi »
Back to top button