Year: 2026

Biashara

Mrajisi aviagiza vyama vya ushirika kutumia mizani za kidijiti

Dodoma: MRAJIS wa Vyama vya Ushirika, Dk Benson Ndiege amevitaka vyama vya ushirika vya mazao nchini kuhakikisha vinatumia mizani za kidigitali…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wananchi kuelimishwa taka kuwa fursa kiuchumi

DAR ES SALAAM: BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa…

Soma Zaidi »
Jifunze Kiswahili

Jifunze Kiswahili

Meaning of “kiti mwendo” in English “Kiti mwendo”means wheelchair in English. A wheelchair is:a chair with wheels used by someone…

Soma Zaidi »
Afya

Bil 2.6/- kukamilisha kituo cha afya Makere

KIGOMA: KIASI cha fedha Sh bilioni 2.6 kitatumika kutekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Makere katika kijiji cha…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Tanzania, Austria kuimarisha usalama, uhamiaji

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ulega aeleza mafanikio ujenzi

DODOMA: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa hadi kufikia Machi 2026 jumla…

Soma Zaidi »
Fedha

TRA yazionya kampuni zinazokwepa kodi

DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amesema TRA itaendelea kuwezesha biashara kwa kampuni…

Soma Zaidi »
Zanzibar

SMZ, TTCL kuimarisha mawasiliano Zanzibar

ZANZIBAR: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amelihakikishia Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

MtumiajiApp kuboresha huduma za mawasiliano

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amezindua mfumo wa kidijitali wa kuwahudumia watumiaji wa huduma za mawasiliano…

Soma Zaidi »
Kimataifa

IEA : Tudhibiti mgogoro wa nishati

MKUU wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA), Fatih Birol ametahadharisha kuwa mgogoro unaoendelea wa nishati Mashariki ya Kati unaweza…

Soma Zaidi »
Back to top button