Vicky Kimaro

Siasa

Dk Tulia Rais mpya Umoja wa Mabunge Duniani

ANGOLA; Spika wa Bunge la Tanzania Dk Tulia Ackson ameshinda kwa kishindo kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)…

Soma Zaidi »
Tanzania

Geita wavunja mkataba na mkandarasi wa maji

GEITA; MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Geita (GEUWASA), imevunja mkataba na mkandarasi aliyekuwa na zabuni ya kujenga…

Soma Zaidi »
Tanzania

TET yawaita wadau kujionea kazi zake

PWANI: TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) kwa kushirikiana na Kituo cha Urithi wa Ukombozi Bara la Afrika wanashiriki Tamasha la…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mtwara mambo safi vitambulisho vya Taifa

MTWARA; UZINDUZI wa ugawaji wa vitambulisho zaidi ya 300,000 vya Taifa, umefanyika leo katika Kata ya Ufukoni Manispaa ya Mtwara…

Soma Zaidi »
Fedha

Watakiwa wasitembee na vitita vya fedha mfukoni

TANGA; Mkuu wa Mkoa wa Tanga Waziri Kindamba, amewataka wananchi mkoani humo kuacha tabia ya kutembea na kiasi kikubwa cha…

Soma Zaidi »
Siasa

Chongolo amfunda Makonda

DAR ES SALAAM: KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amemuagiza Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,…

Soma Zaidi »
Fedha

Zanzibar mwenyeji Mkutano wa 20 wa Benki ya Dunia

ZANZIBAR: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

TCAA yatamani makubwa kimataifa

DAR ES SALAAM; MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imebainisha kuwa imejizatiti kuboresha huduma za usafiri wa anga nchini…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Robertinho apiga hesabu za mbali zaidi

DAR ES SALAAM; Kocha wa Simba Roberto Oliviera ‘Robertinho’, amesema timu yake inacheza kwa malengo ndio maana anazingatia zaidi matokeo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Waandishi wa habari wafundwa

SONGWE: WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuwa mabalozi kulisaidia Jeshi la polisi kuibua matukio mbalimbali ya kihalifu yakiwemo madhila yanayowakuta…

Soma Zaidi »
Back to top button