Na Ismaily Kawambwa

Michezo na Burudani

Ahmed Ally: Wala msijisikie unyonge wanasimba

BANDARINI, Dar es Salaam: MENEJA Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amewasihi mashabiki wa klabu hiyo kutokuwa wanyonge…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Dk Mwinyi atunuku Nishani 17

IKULU, Zanzibar: RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amewatunuku Nishani watunukiwa 17 ambao ni viongozi, askari na wananchi. Miongoni…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Dk Biteko: Wazanzibari ni wakarimu sana

UNGUJA, Zanzibar: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko amesema tangu amefika visiwani Zanzibar, amevutiwa na ukarimu,…

Soma Zaidi »
Gesi

Gesi asilia kuwafikia Watanzania wote

UNGUJA, Zanzibar: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuwa, Mkakati wa Wizara ya Nishati ni…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Historia itajirudia Kombe la Mapinduzi?

UNGUJA, Zanzibar: MLANDEGE FC wametinga fainali ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka wa pili mfululizo baada ya kuitoa APR kwa…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Zanzibar kujenga bandari ya kisasa

UNGUJA, Zanzibar: RAIS wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi amesema ujenzi wa bandari mpya ya abiria eneo la Mpiga Duri…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Miaka 3 ya ubora bila Kombe la Mapinduzi

UNGUJA, Zanzibar: LICHA ya ubora wa Yanga SC kwa takribani misimu mitatu mutawalia katika mashindano ya ndani, hata kimataifa, ajabu…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Wabuni boti ya plastiki, kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

UNGUJA, Zanzibar: BOTI ya chupa za plastiki ni moja ya kivutio kinachopatikana ndani ya Kisiwa cha Unguja, Zanzibar. Boti hii,…

Soma Zaidi »
Safari

LATRA yatangaza ruti mpya 10 daladala Dar

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Usafiri wa Ardhini (LATRA) imetangaza ruti mpya 10 za daladala zitakazoanzia katika Kituo kipya cha…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Kiongozi achomwa kisu shingoni

SEOUL, Korea Kusini: KIONGOZI wa chama cha upinzani cha Democratic Party cha Korea Kusini, Lee Jae-myung amewahishwa hospitali mjini Seoul…

Soma Zaidi »
Back to top button