Ismaily Kawambwa

Tanzania

Tuwachangie vifaa vya ujenzi Hanang

HANANG, Manyara: SERIKALI inatoa wito kwa wanaowiwa kutoa misaada kwa waathirika wa maafa ya Hanang, kujikita zaidi katika kutoa misaada…

Soma Zaidi »
Uchumi

Kinana ataja mwarobaini tatizo la ajira

ARUSHA: MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amezihimiza taasisi za kijamii kuweka mkazo katika elimu…

Soma Zaidi »
Jamii

Atoa pikipiki kwa polisi anayetumia baiskeli kuelimisha vijijini

MOROGORO: MKAZI wa Kijiji cha Kikweta, Kata ya Lumemo, Halmashauri ya Mji Ifakara, Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Petronila Ngurukila…

Soma Zaidi »
Afya

“Badili mtindo wa maisha, kula chakula bora”

DODOMA: WIZARA ya Afya, imewataka Watanzania kuazimia kulinda na kutunza afya zao hususani katika nyakati hizi za Sikukuu za mwisho…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ajali yaua wanane, chanzo mwendokasi na uzembe

KIGOMA: WATU wanane waliokuwa wakisafiri na gari ndogo aina ya Probox Succeed maarufu kama mchomoko wamefariki dunia papo hapo na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanzania bila ajali inawezekana

MWANZA: BAADHI ya maofisa wa Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Mwanza wakifanya ukaguzi wa vyombo vya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Stiko: Ntarudi kwenye muziki nikipata pesa

MMOJA wa wasanii wanaouna kundi la Wanaume Family, Salum Khalid maarufu Stiko ameamua kuweka muziki pembeni kwa muda na kujikita…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

D Voice: Bado najitafuta nifike anga za kimataita

MSANII wa muziki wa singeli kutoka kundi la WCB Wasafi, Dvoice Ginni maarufu D Voice amesema bado anajitafuta ili afikie…

Soma Zaidi »
Afya

Mashine ya Pet-CT Scan kuanza kutumika Ocean Road

DAR ES SALAAM: Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameitaka Taasisi ya Saratani Ocean Road hadi kufikia Februari Mosi, 2024 kuanza…

Soma Zaidi »
Afya

Msiingize vidole ukeni, mtapata saratani – Zuhura

DAR ES SALAAM: KUNAWA kwa kuingiza vidole sehemu za uke, kujifukiza na matumizi ya bidhaa mbali mbali ikiwemo asali kuwekwa…

Soma Zaidi »
Back to top button