Ismaily Kawambwa

Tanzania

Mama Maria atimiza miaka 93

MTANDAO: RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuungana pamoja kumuombea na kumtakia heri, mke wa Rais wa kwanza wa Tanzania,…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Biteko awavulia kofia walimu Bukombe

BUKOMBE, Geita: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko  amewapongeza na kuwashukuru walimu wote wanaofundisha shule za…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Dk Mwinyi azindua Matumbaku Sports Complex

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Awamu ya nane inatilia mkazo ujenzi wa viwanja vya…

Soma Zaidi »
Dini

Padri Maziku: Boxing Day haihusiani na jinai

DAR ES SALAAM: KILA ifikapo Desemba 26 ya kila mwaka, waumini wengi wa dini ya kikristo wa madhehebu mbalimbali hutumia…

Soma Zaidi »
Utalii

Kairuki kuwafungulia fursa wanakilimanjaro

KILIMANJARO: WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Angela Kairuki anatarajia kuzindua programu maalum ya ‘Homestay’ inayotoa fursa kwa wananchi wa Kilimanjaro…

Soma Zaidi »
Africa

Tshisekedi aongoza kura za urais

DR CONGO: TUME ya Uchaguzi ya DR Congo (CENI) imeendelea kutoa matokeo ya uchaguzi wa rais kwa baadhi ya maeneo…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kiduku: wamemkanyaga nyoka mkia

DAR ES SALAAM: HAYAWI hayawi, punde kuwa na usiku wa deni haukawii kuwika. Bondia kipenzi cha wapenda ndondi nchini, Twaha…

Soma Zaidi »
Tanzania

“Tukikubali na kutii tutakula mema ya nchi”

MTWARA: WAKATI Wakristo Tanzania wakiungana na wengine duniani kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa ya Noel, Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Washerehekea Krismasi kwa mara ya kwanza

UKRAINE: WAKRISTO wa Kanisa la Orthodoksi nchini Ukraine leo kwa mara ya kwanza wanasherehekea Krismasi mnamo Desemba 25. Awali, Ukraine…

Soma Zaidi »
Tanzania

“Nawasihi kuzingatia sheria ya usalama barabarani”

MTANDAO: RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kuzingatia sheria ya usalama barabarani na kuchukua tahadhari na umakini mkubwa katika juma…

Soma Zaidi »
Back to top button