Lovin Kefa

Zanzibar

SMZ, TTCL kuimarisha mawasiliano Zanzibar

ZANZIBAR: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amelihakikishia Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)…

Soma Zaidi »
Uchumi

Serikali yapanga kuongeza ndege kuchochea uchumi

CAPE TOWN: SERIKALI imetangaza mpango wa kuongeza ndege nane kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), hatua itakayofikisha jumla ya ndege…

Soma Zaidi »
Dini

Waislamu watoa wito kudumisha maadili

DAR ES SALAAM: WAUMINI wa dini ya Kiislamu wametakiwa kuendelea kuishi kwa kuzingatia maadili mema waliyojifunza katika mwezi mtukufu wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Makonda ataka historia Dar City

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameikabidhi bendera timu ya mpira wa kikapu ya…

Soma Zaidi »
Afya

JKCI yazindua kampeni magonjwa yasiyoambukiza

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeanzisha kampeni maalumu ya “Jua Namba Zako” katika kliniki ya…

Soma Zaidi »
Infographics

Kapinga ataja mafanikio ushirikiano Tanzania, China

CHINA: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema kuwa mafanikio ya ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na China…

Soma Zaidi »
Infographics

Watoto yatima Busara Orphanage wapewa tabasamu Eid El-Fitr

DAR ES SALAAM: Watoto yatima wapatao 30 kutoka kituo cha Busara Orphanage Center kilichopo Kibada, Kigamboni, wamepata fursa ya kipekee…

Soma Zaidi »
Infographics

Mbunge Kyela akabidhi gari huduma za jamii

MBEYA: Mbunge wa Jimbo la Kyela, Baraka Mwamengo, amenunua gari lenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 50 na kulikabidhi…

Soma Zaidi »
Infographics

TFS yapanda miti sekondari Shinyanga

SHINYANGA: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeeleza kupoteza hekta 4069 za misitu kwa mwaka Tanzania Bara huku wakielekeza…

Soma Zaidi »
Infographics

Maandalizi Kill Marathon yaiva

MOSHI: Maandalizi ya Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2026 yamekamilika, huku jiji la Moshi likijaa washiriki na wageni kutoka nchi…

Soma Zaidi »
Back to top button