Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

FCC yatakiwa kudhibiti bidhaa feki

FCC yatakiwa kudhibiti bidhaa feki

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameihimiza Tume ya Ushindani (FCC) kuongeza ufanisi katika kudhibiti bidhaa feki na kuimarisha…
ATCL kuongeza vituo vitatu kimkakati

ATCL kuongeza vituo vitatu kimkakati

SERIKALI imesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) linazidi kuimarika na litaongeza vituo vitatu kimkakati. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson…
Serikali mguu sawa ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Serikali mguu sawa ujenzi Bandari ya Bagamoyo

SERIKALI imesema inajiandaa kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali inaanza…
Mapambano ya rushwa ni jukumu la wote

Mapambano ya rushwa ni jukumu la wote

MAPAMBANO dhidi ya ubadhilifu na rushwa ni jukumu la pamoja, si la mtu mmoja au serikali pekee, hivyo wananchi na…
Usafiri wa mwendokasi waanza Mbagala

Usafiri wa mwendokasi waanza Mbagala

HUDUMA za usafi ri wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutoka Mbagala kwenda Posta na Gerezani imerejea jana baada ya kusitishwa…
Chongolo aahidi kutimiza malengo Wizara ya Kilimo

Chongolo aahidi kutimiza malengo Wizara ya Kilimo

WAZIRI wa Kilimo, Daniel Chongolo ameieleza menejimenti na watumishi wa wizara hiyo kuwa kazi na malengo yaliyopangwa yatafi kiwa kwa…
Shirika la kimataifa kuendeleza ushirikiano miradi na Tanzania

Shirika la kimataifa kuendeleza ushirikiano miradi na Tanzania

SHIRIKA la Maendeleo ya Mfuko wa Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNDCF) limekubali kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kutekeleza Programu…
Vijana watakiwa kutumia hotuba ya rais kupata suluhu

Vijana watakiwa kutumia hotuba ya rais kupata suluhu

VIJANA nchini wametakiwa kuijadili na kuitumia hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizindua Bunge la 13 kama suluhu ya…
Vicoba bila usajili ni kuitafuta jela

Vicoba bila usajili ni kuitafuta jela

DODOMA: Kuendesha shughuli za huduma ndogo za fedha ( VICOBA ) bila usajili kutoka Benki Kuu ya Tanzania ni kosa…
Ukarabati wa uwanja wa ndege Tabora wafikia 98%

Ukarabati wa uwanja wa ndege Tabora wafikia 98%

WAZIRI wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amepongeza kiwango cha kisasa cha jengo jipya la abiria katika Uwanja wa Ndege wa…
Back to top button