Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali yapewa ushauri pato la Dola tril 1/

Serikali yapewa ushauri pato la Dola tril 1/

WATAALAMU wa uchumi wameishauri serikali izingatie nguzo tatu za Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025-2050 ili kufikia lengo la nchi…
Serikali yasisitiza ufanisi kwa Taasisi za Umma

Serikali yasisitiza ufanisi kwa Taasisi za Umma

SERIKALI imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa iwapo hayatachukua hatua…
Tuzo taarifa za hesabu zaongeza uwajibikaji

Tuzo taarifa za hesabu zaongeza uwajibikaji

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Luswetula, amesema kuwa Tuzo za Ubora wa Uandaaji wa Taarifa za Hesabu…
TPA yang’ara Tuzo za NBAA

TPA yang’ara Tuzo za NBAA

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa kwanza wa tuzo ya umahiri katika uandaaji…
Bil 120/- mradi wa HEET zaineemesha MUHAS

Bil 120/- mradi wa HEET zaineemesha MUHAS

CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS) kimesema kimepata Sh bilioni 120 kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa…
Azania yaja na mikopo nafuu kwa Watanzania

Azania yaja na mikopo nafuu kwa Watanzania

KATIKA kuendeleza juhudi za Serikali kuboresha maisha ya Watanzania, Benki ya Azania imezindua huduma mbili za mikopo zinazolenga kuwawezesha wanafunzi…
Nyuki wageuzwa kisima cha mapato, uhifadhi mazingira

Nyuki wageuzwa kisima cha mapato, uhifadhi mazingira

MANISPAA ya Songea katika Mkoa wa Ruvuma ina simulizi nzito ya mizinga 78 ya nyuki inayohusu hatua za ujasiri na…
FCC yahimiza akili unde kukuza uwekezaji

FCC yahimiza akili unde kukuza uwekezaji

TUME ya Ushindani (FCC) imesema akili unde ikitumika ipasavyo italeta tija ikiwa ni pamoja na kuongeza uwekezaji. Kaimu Mkurugenzi Mkuu…
Vodacom wazindua huduma malipo kimataifa

Vodacom wazindua huduma malipo kimataifa

DAR ES SALAAM; KAMPUNI ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua huduma ya malipo ya kimataifa, hatua inayoleta mapinduzi katika biashara…
Bandari ya Tanga yazidi kufunguka

Bandari ya Tanga yazidi kufunguka

TANGA: BANDARI ya Tanga imezidi kufunguka kutokana na kupokea meli za mizigo kwa wingi ambapo MV Parnia yenye mizigo ya…
Back to top button