Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

TRA yafundwa kuepusha migogoro Katavi

TRA yafundwa kuepusha migogoro Katavi

KATAVI: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Katavi imetakiwa kufanya kazi kwa weledi ili kuondoa changamoto zote zinazoweza kusababisha…
TADB yaipiga jeki Galaxy Food kuongeza uzalishaji, soko

TADB yaipiga jeki Galaxy Food kuongeza uzalishaji, soko

ARUSHA: Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeiwezesha Kampuni ya Maziwa Galaxy Food and Beverages Ltd kuondoa vikwazo vya…
Sekta ya nguruwe kupata msukumo mpya

Sekta ya nguruwe kupata msukumo mpya

DAR-ES-SALAAM : WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, amesema Tanzania itanufaika na kongamano kubwa la wafugaji wa nguruwe Barani Afrika, litakalosaidia…
Bandari yachangia 40% Pato la Taifa

Bandari yachangia 40% Pato la Taifa

WIZARA ya Uchukuzi imesema sekta ya usafirishaji kupitia bandari inachangia asilimia 40 ya mapato ya nchi. Pia, imesema serikali ina…
Mamlaka Tanzania, Algeria zajadili kuinua sekta ya petroli, gesi asilia

Mamlaka Tanzania, Algeria zajadili kuinua sekta ya petroli, gesi asilia

ALGIERS, ALGERIA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli nchini (PURA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Petroli Algeria (ARH)…
Bandari ya Mtwara yazidi kung’ara kimataifa

Bandari ya Mtwara yazidi kung’ara kimataifa

MTWARA : SERIKALI ya Urusi imeonyesha nia ya kutumia Bandari ya Mtwara kusafirisha bidhaa zake na kuzisambaza katika nchi jirani…
FCC yawavuta wawekezaji IATF

FCC yawavuta wawekezaji IATF

ALGIERS, ALGERIA: Tanzania imejipambanua kama nchi salama na yenye ushindani katika kuvutia uwekezaji kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani…
Balozi, bosi Sonatrach wateta fursa za uwekezaji sekta ya mafuta, gesi asilia

Balozi, bosi Sonatrach wateta fursa za uwekezaji sekta ya mafuta, gesi asilia

Algiers, Algeria: Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Iman Njalikai amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wa Kampuni…
Watuhumiwa 940 dawa za kulevya mbaroni

Watuhumiwa 940 dawa za kulevya mbaroni

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilo 33,077 za dawa za kulevya…
Mitaa ya viwanda yaja kila wilaya

Mitaa ya viwanda yaja kila wilaya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema serikali yake ijayo itaanzisha mitaa ya viwanda katika kila wilaya nchini. Mgombea Mwenza wa urais…
Back to top button