Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kafulila kuongoza mhadhara sekta ya umma, binafsi

Kafulila kuongoza mhadhara sekta ya umma, binafsi

DODOMA: Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Centre, David Kafulila, anatarajiwa kuwa na Mhadhara Maalum wa Umma Chuo Kikuu cha Dodoma kesho…
Miradi yalenga kuzalisha lita bilioni 13 za maziwa

Miradi yalenga kuzalisha lita bilioni 13 za maziwa

IRINGA: Katika kuadhimisha Wiki ya Unywaji Maziwa nchini inayofanyika kitaifa mkoani Iringa, Bodi ya Maziwa Tanzania imetambulisha miradi miwili mikubwa…
PPP imeleta mapinduzi safari za kwenda Makka 🌙

PPP imeleta mapinduzi safari za kwenda Makka 🌙

DAR ES SALAAM: MKURUGENZI wa Kituo Cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC ) David Kafulila amesema…
Bei za mbuzi zapanda Dar

Bei za mbuzi zapanda Dar

WAKATI Waislamu duniani wakijiandaa kuadhimisha Sikukuu ya Eid al-Adha inayohusisha ibada ya kuchinja wanyama, wafanyabiashara wa mifugo katika Soko la…
ATCL yarejesha huduma Chato

ATCL yarejesha huduma Chato

DODOMA; SERIKALI imesema Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), itarejesha safari zake za ndege ya abiria kwenye Uwanja wa Ndege wa…
Benki yajizatiti uchumi kidigitali

Benki yajizatiti uchumi kidigitali

DAR ES SALAAM: BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kujikita katika kukuza uchumi wa kidijiti kupitia matumizi ya teknolojia bunifu zinazolenga…
Serikali yazungumzia hatua kuimarisha biashara kikanda

Serikali yazungumzia hatua kuimarisha biashara kikanda

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema serikali imeendelea kuchukua hatua za kuondoa vikwazo vya biashara visivyo vya…
Tanzania ina viwanda 1,604 mafuta ya kula

Tanzania ina viwanda 1,604 mafuta ya kula

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema Tanzania ina jumla ya viwanda 1,604 vya kuzalisha mafuta ya kula,…
Hivi hapa vipaumbele 7 bajeti viwanda na biashara 2026/27

Hivi hapa vipaumbele 7 bajeti viwanda na biashara 2026/27

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amewasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo mwaka 2026/27 ikiwa na vipaumbele…
Imani ya wawekezaji yawezesha hatifungani EFTA kuvuka lengo

Imani ya wawekezaji yawezesha hatifungani EFTA kuvuka lengo

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Tanzania (CMSA) imesema kuongezeka kwa imani ya wawekezaji katika masoko…
Back to top button