Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Fedha za SGR zaipa tuzo Tanzania

Fedha za SGR zaipa tuzo Tanzania

SERIKALI ya Tanzania imeibuka mshindi wa tuzo ya kimataifa ya fedha za miundombinu kwa mwaka 2026, kufuatia mafanikio yake katika…
CAG: Hati 1,326 zinaridhisha

CAG: Hati 1,326 zinaridhisha

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema kuwa mwenendo wa hati za ukaguzi kwa mashirika…
Wakulima wazuiwa kuuza korosho nje

Wakulima wazuiwa kuuza korosho nje

MKUU wa Wilaya ya Tabora Upendo Wella, amepiga marufuku wakulima wa zao la korosho kuuza mazao yao nje ya mkoa…
Tozo 628 zapunguzwa kuinua biashara

Tozo 628 zapunguzwa kuinua biashara

RAIS wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mazingira ya biashara nchini Tanzania yameendelea kuimarika kwa kiwango kikubwa kufuatia hatua…
Watendaji watajwa kikwazo cha biashara

Watendaji watajwa kikwazo cha biashara

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Prof. Kitila Mkumbo amesema juhudi za kuboresha mazingira ya biashara nchini…
Tanzania yazindua mfumo kidijitali kurahisisha biashara

Tanzania yazindua mfumo kidijitali kurahisisha biashara

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi ripoti ya uchambuzi wa mifumo ya kidijitali ya utoaji huduma za…
Tanzania, ATIDI kuendelea kuimarisha uwekezaji

Tanzania, ATIDI kuendelea kuimarisha uwekezaji

DAR ES SALAAM :TANZANIA inaendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji na kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia ushirikiano wake na Shirika la…
Mwongozo mpya BMUs kulinda rasilimali za uvuvi

Mwongozo mpya BMUs kulinda rasilimali za uvuvi

DODOM: WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Dk Bashiru Ally amezindua Mwongozo wa Kitaifa wa Usimamizi Shirikishi wa Rasilimali za Uvuvi…
Serikali yasisitiza elimu kwa umma kuongeza ushiriki soko la mitaji

Serikali yasisitiza elimu kwa umma kuongeza ushiriki soko la mitaji

WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ametaka wadau kuimarisha elimu kwa umma kuhusu masoko ya mitaji na dhamana ili…
Mrajisi aviagiza vyama vya ushirika kutumia mizani za kidijiti

Mrajisi aviagiza vyama vya ushirika kutumia mizani za kidijiti

Dodoma: MRAJIS wa Vyama vya Ushirika, Dk Benson Ndiege amevitaka vyama vya ushirika vya mazao nchini kuhakikisha vinatumia mizani za kidigitali…
Back to top button