Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mauzo ya mazao yaongezeka asilimia 43.6

Mauzo ya mazao yaongezeka asilimia 43.6

KIASI cha mazao yaliyouzwa kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kimeongezeka kwa asilimia 43.6 katika mwaka wa fedha 2025/26.
IMF yaipa tano TRA

IMF yaipa tano TRA

DAR ES SALAAM: Ujumbe wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) ukiongozwa na Thabo Letjama umekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti…
COPRA kuwaunganisha wadau kupitia Nanenane

COPRA kuwaunganisha wadau kupitia Nanenane

Dodoma: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imepanga kushiriki Maonesho ya Kilimo ya Nanenane Kitaifa 2026 yatakayofanyika…
Barabara ya Ruangwa – Nanganga mambo safi

Barabara ya Ruangwa – Nanganga mambo safi

LINDI; UJENZI wa Barabara ya Nanganga hadi Ruangwa kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 53.2 umefikia asilimia 97.49.…
SUA yazalisha watalamu kilimo biashara

SUA yazalisha watalamu kilimo biashara

MOROGORO: CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kupitia mtaala mpya wa masomo ya Shamba Darasa la Klimo Biashara (FFBS),…
Mwigulu: Fedha za Marathon zilete tija kwa walengwa

Mwigulu: Fedha za Marathon zilete tija kwa walengwa

DODOMA. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Marathon zihakikishe zinatumika kwa uwazi…
Benki yatumia parokia kama mawakala wa kimkakati

Benki yatumia parokia kama mawakala wa kimkakati

MAWAKALA 28 kati ya 1,957 wa Benki ya Biashara ya Mkombozi ni mawakala wa kimkakati waliopo katika maeneo maalumu ya…
Tiseza yahamasisha wawekezaji Rungwe

Tiseza yahamasisha wawekezaji Rungwe

MBEYA: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewahimiza wawekezaji kutumia fursa zilizopo Wilaya ya Rungwe mkoani…
Afrika yaweka mkakati wa viwanda

Afrika yaweka mkakati wa viwanda

AFRIKA imeendelea kusisitiza umuhimu wa kuunganisha nguvu za kiuchumi miongoni mwa nchi zake ili kuchochea maendeleo ya viwanda, kuongeza thamani…
Serikali yasifu soko jipya Dar

Serikali yasifu soko jipya Dar

Naibu Katibu Mkuu wa  Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Mbwasi, amesema ujio soko jipya la YIWU Market ndani ya…
Back to top button