Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Trilioni 76 za maendeleo zilivyoibadili Tanzania

Trilioni 76 za maendeleo zilivyoibadili Tanzania

Mwaka 2021, mkazi wa Sumbawanga aliyekuwa akihitaji huduma ya CT Scan au matibabu ya kibingwa mara nyingi alilazimika kusafiri kilomita…
Wananchi kunufaika na maduka jongefu ya Vodacom

Wananchi kunufaika na maduka jongefu ya Vodacom

DAR ES SALAAM: Wananchi katika maeneo yenye upatikanaji mdogo wa huduma za mawasiliano wanatarajiwa kunufaika zaidi baada ya Kampuni ya…
Kilimo kuongoza ajenda mabadiliko ya uchumi

Kilimo kuongoza ajenda mabadiliko ya uchumi

DODOMA:Serikali imesema itatoa kipaumbele kwenye sekta ya kilimo katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2026/27, ikiitaja kuwa miongoni…
Kafulila asifu ziara ya Rais wa Singapore

Kafulila asifu ziara ya Rais wa Singapore

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE), David Kafulil…
‘Dhana ya taka sifuri inafungua fursa biashara, viwanda’

‘Dhana ya taka sifuri inafungua fursa biashara, viwanda’

UTURUKI: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema dhana ya taka sifuri na urejeshaji bidhaa ni fursa muhimu ya…
Mafunzo kuongeza ufanisi kwa wajasiriamali

Mafunzo kuongeza ufanisi kwa wajasiriamali

IRINGA: ZAIDI ya wajasiriamali 300 kutoka maeneo mbalimbali ya Jimbo la Iringa Mjini wamehitimu mafunzo maalumu ya ujasiriamali yaliyoandaliwa na…
Londo: TBS ni nguzo kuu kulinda afya ya mlaji

Londo: TBS ni nguzo kuu kulinda afya ya mlaji

DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,  Dennis Londo, amelitaja Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuwa ni nguzo…
Benki ya Equity zaidi kupasua anga Zanzibar

Benki ya Equity zaidi kupasua anga Zanzibar

ZANZIBAR: BENKI ya Equity Tanzania imezindua rasmi kituo maalum cha huduma za kibenki cha Zanzibar Supreme katika eneo la Kijangwani,…
‘Uzingatiaji viwango, ubora si hiari’

‘Uzingatiaji viwango, ubora si hiari’

DAR ES SALAAM: Serikali imesisitiza kuwa uzingatiaji wa viwango na ubora wa bidhaa na huduma si jambo la hiari bali…
Wakulima sasa mambo kidigitali

Wakulima sasa mambo kidigitali

DAR ES SALAAM: Wakulima na wanachama wa vyama vya ushirika nchini wanatarajiwa kunufaika na ongezeko la upatikanaji wa huduma za…
Back to top button