Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

WHI yaagizwa kutoa elimu ya huduma zao

WHI yaagizwa kutoa elimu ya huduma zao

DAR ES SALAAM: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, ametoa…
Baraza la Mawaziri (SCTIFI) wakutana Kenya

Baraza la Mawaziri (SCTIFI) wakutana Kenya

JAMHURI  ya Muungano wa Tanzania imeshiriki Mkutano wa 47 wa Baraza la Mawaziri wa Biashara, Viwanda, Fedha na Uwekezaji la…
BoT yaonya upotoshaji amana benki za biashara

BoT yaonya upotoshaji amana benki za biashara

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema mifumo ya malipo ya Taifa na amana za wateja katika benki za biashara nchini…
FCC yatakiwa kudhibiti bidhaa feki

FCC yatakiwa kudhibiti bidhaa feki

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameihimiza Tume ya Ushindani (FCC) kuongeza ufanisi katika kudhibiti bidhaa feki na kuimarisha…
ATCL kuongeza vituo vitatu kimkakati

ATCL kuongeza vituo vitatu kimkakati

SERIKALI imesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) linazidi kuimarika na litaongeza vituo vitatu kimkakati. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson…
Serikali mguu sawa ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Serikali mguu sawa ujenzi Bandari ya Bagamoyo

SERIKALI imesema inajiandaa kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo mkoani Pwani. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali inaanza…
Mapambano ya rushwa ni jukumu la wote

Mapambano ya rushwa ni jukumu la wote

MAPAMBANO dhidi ya ubadhilifu na rushwa ni jukumu la pamoja, si la mtu mmoja au serikali pekee, hivyo wananchi na…
Usafiri wa mwendokasi waanza Mbagala

Usafiri wa mwendokasi waanza Mbagala

HUDUMA za usafi ri wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutoka Mbagala kwenda Posta na Gerezani imerejea jana baada ya kusitishwa…
Chongolo aahidi kutimiza malengo Wizara ya Kilimo

Chongolo aahidi kutimiza malengo Wizara ya Kilimo

WAZIRI wa Kilimo, Daniel Chongolo ameieleza menejimenti na watumishi wa wizara hiyo kuwa kazi na malengo yaliyopangwa yatafi kiwa kwa…
Shirika la kimataifa kuendeleza ushirikiano miradi na Tanzania

Shirika la kimataifa kuendeleza ushirikiano miradi na Tanzania

SHIRIKA la Maendeleo ya Mfuko wa Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNDCF) limekubali kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kutekeleza Programu…
Back to top button