Uchumi

Tanzania, Vietnam kuongeza ushirikiano wa kiuchumi

VIETNAM: JAMHURI ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kijamaa ya Vietnam zimeafikiana kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano wa kiuchumi…

Soma Zaidi »

Nyumba 155 zaunganishwa gesi asilia Mikocheni Dar

DODOMA – NYUMBA 155 zimeunganishwa na mtandao wa matumizi ya gesi asilia katika eneo la Mikocheni, Dar es Salaam na…

Soma Zaidi »

XI Jinping yuko Cambodia

CAMBODIA : RAIS Xi Jinping wa China amewasili Cambodia ambapo kitakuwa kituo cha mwisho cha ziara yake ya kuyatembelea mataifa…

Soma Zaidi »

TAMISEMI yaomba Sh trilioni 11.78 Bajeti 2025/26

Sh trilioni 1.45 ni fedha za nje, zikiwa na lengo la kuendeleza miradi ya kimaendeleo katika maeneo mbalimbali.

Soma Zaidi »

Thamani ya sekta ya benki yafikia tril 67/-

SEKTA ya benki inaendelea kufanya vizuri kiasi cha kufikisha thamani ya Sh trilioni 67. Akizungumza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi…

Soma Zaidi »

Qatar yatangaza ajira 400 madereva mabasi, malori

QATAR kupitia Kampuni ya Mowasalat imetangaza fursa za ajira kwa Watanzania 400 wenye fani ya udereva. Taasisi ya Benjamin Mkapa…

Soma Zaidi »

Mashirika ya Umma yaguswa uchaguzi mkuu

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Dk Mosses Kusiluka ameziagiza taasisi na mashirika yote ya umma kutumia vizuri huduma wanazotoa kushiriki na…

Soma Zaidi »

Bomba la mafuta lapata ufadhili mradi ukifika 55%

MRADI wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umepata sehemu ya kwanza ya ufadhili wa nje. Ufadhili kutoka…

Soma Zaidi »

Tuzo za wafanyabishara Kariakoo zaja

DAR ES SALAAM; Tuzo ziitwazo Kariakoo Business Award zinatarajiwa kufanyika hivi karibuni katika Mkoa wa Dar es Salaam, zikiwa na…

Soma Zaidi »

Vigogo Wachina watua kwa Ulega, wajitetea

HATIMAYE Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekutana na viongozi wakuu wa kampuni za China zinazosimamia miradi ya ujenzi wa miundombinu…

Soma Zaidi »
Back to top button