Uchumi

Waziri Mkuu awasilisha ripoti ya moto Kilimanjaro, atoa mkakati

Waziri MKuu amesema kuwa zoezi la kuzima moto uliozuka katika hifadhi ya Mlima Kilimajaro limefanikiwa kwa kiasi kikubwa huku akishukuru…

Soma Zaidi »

Serikali yasitisha zoezi la utambuzi mifugo

SERIKALI imesitisha zoezi la kufanya utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kieletroniki kipindi cha miezi mitatu kwa lengo la…

Soma Zaidi »

TRAB, TRAT zatajwa nakisi ya trilioni 2.8/-

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema Mamlaka ya Mapato (TRA) imeshindwa kukusanya kiasi cha Shilingi…

Soma Zaidi »

Rais Samia atajwa mafanikio TANROADS

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Mhandisi Rogatus Mativila amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa na mchango mkubwa katika…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu Majaliwa atoa rai kwa Watanzania waishio ughaibuni

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania wanaoishi ughaibuni kuwa mabalozi wazuri kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi wanazoishi…

Soma Zaidi »

Korosho tani 20,000 kupelekwa mnadani

TANI 20,000 za korosho ghafi zinatarajiwa kupelekwa kwenye mnada wa pili msimu wa mauzo 2022/2023, ambao unaanza leo sehemu mbalimbali…

Soma Zaidi »

Wawekezaji waitwa kurudisha Tanga ya viwanda

HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imetenga eneo la ardhi lenye ukubwa wa hekta 5635, kwa àjili ya uwekezaji sekta mbalimbali…

Soma Zaidi »

 Waziri Mkuu atembelea eneo yanapojengwa mabehewa ya SGR

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo na kasi ya ujenzi wa mabehewa mapya kwa ajili Reli ya Kisasa…

Soma Zaidi »

‘Tunafuatilia bei ya korosho soko la dunia’

BODI ya Korosho nchini (CBT), imesema inaendelea kufuatilia mwenendo wa bei ya korosho soko la dunia na kutoa taarifa, ili…

Soma Zaidi »

Serikali yapewa mbinu kuteka soko DRC

WACHAMBUZI wa masuala ya diplomasia na uchumi wameishauri serikali iweke mikakati ya kunufaika na soko la dhahabu katika Jamhuri ya…

Soma Zaidi »
Back to top button