Uchumi

TRA yaweka mkakati ukusanyaji kodi Kariakoo

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA), imeweka mkakati wa kuchochea wafanyabiashara kulipa kodi, ili kuongeza mapato ya serikali kwa kuweka mabango…

Soma Zaidi »

Ukarabati Uwanja Ndege Mtwara safi

UKARABATI na upanuzi wa miundombinu ya kiwanja cha ndege mkoani Mtwara umefikia asilimia 96. Maneja wa kiwanja hicho, Samuel Mruma…

Soma Zaidi »

Wadau ufugaji kuku waonyesha imani kulinda soko

WADAU wa ufugaji wa kuku nchini wameonesha imani kwa serikali ya awamuya sita inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan…

Soma Zaidi »

Profesa Mbarawa aitaka TPA kutangaza maboresho bandari ya Mtwara

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amewataka Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA) kutangaza maboresho makubwa ambayo yamefanyika katika…

Soma Zaidi »

RC Malima apiga marufuku matumizi ya daraja ‘dogo’ la JPM

MKUU wa Mkoa wa Mwanza (RC), Adam Malima, amezuia magari kupita katika daraja la muda linalotumiwa na mkandarasi kupitishia vifaa…

Soma Zaidi »

Operesheni funga maduka yazua gumzo Bukoba, Machali acharuka

MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Mosses Machali ameelekeza maduka yote ya wafanyabiashara ambao hawana leseni za biashara yafungwe hadi hapo…

Soma Zaidi »

Majaliwa aita mjadala eneo huru la biashara Afrika

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema makubaliano ya eneo huru la biashara Afrika yana lengo la kuleta mageuzi ya kiuchumi barani…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Hakuna uwekezaji utakaokwama

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali ina dhamira ya dhati kuhakikisha wawekezaji wanapata faida na hakuna mwekezaji atakayekwama kwa namna…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Uwekezaji nchini hautakwama

WAZIRI  Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwaunga mkono wawekezaji…

Soma Zaidi »

TRA Katavi yakusanya zaidi ya bilioni 7/-

Katika mwaka wa fedha 2021/22 Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Katavi imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 7.2 sawa na…

Soma Zaidi »
Back to top button