Uwekezajia

NBC yakabidhi gawio la bilioni 6/- serikalini

Serikali imepokea kiasi cha Shilingi  bilioni sita kutoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC). Kiasi hicho ni sehemu ya gawio…

Soma Zaidi »

Tanzania yajipanga kufanikisha jukwaa la kimataifa AGRF-2023

IKIWA na lengo la kuwa kitovu cha uhakika wa chakula kimataifa, Tanzania inayosifika kwa uzalishaji wa chakula katika eneo la…

Soma Zaidi »

Majaliwa kuzungumza na wafanyabiashara Kariakoo 

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajia kukutana na Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo Mei 17, 2023 kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

China kuitumia Tanzania kuzalisha bidhaa za ngozi

KAMPUNI ya kuzalisha bidhaa za ngozi vikiwemo viatu ya Huajian Group ya China inajipanga kuja kuwekeza nchini kuanzia mwaka huu.…

Soma Zaidi »

Watanzania mil.8.5 kufikiwa mawasiliano

MTENDAJI Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF), Justina Mashiba amesema Watanzania milioni 8.5 watafikiwa na huduma za mawasiliano…

Soma Zaidi »

Waajiri wanaokwepa mikataba kukiona

KATIKA kudhibiti waajiri wanaonyanyasa na kuwadhulumu wafanyakazi kwa kukwepa kuwapa mikataba na kuwatumia kama vibarua, serikali imetangaza kuanza ukaguzi wa…

Soma Zaidi »

Faida uwekezaji mpya Tanga Cement zatajwa

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amewahakikishia Watanzania kuwa uwekezaji mpya wa zaidi ya dola za kimarekani milioni…

Soma Zaidi »

Mfuko wa Faida wazidi kunoga

MFUKO wa Faida unaosimamiwa na Watumishi Housing Investment (WHI), umeongeza faida kutoka Sh bilioni 12 Januari mwaka huu hadi Sh…

Soma Zaidi »

Geita yavutia wawekezaji kutoka Dubai

KAMPUNI ya Isra Gold Tanzania inayomilikiwa na wawekezaji kutoka Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imefungua kituo cha kusafisha…

Soma Zaidi »

Maji yafikia mita za ujazo 155.9 JNHPP

SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) limesema kazi ya ujazaji maji katika mradi wa bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere…

Soma Zaidi »
Back to top button