Infographics

Mwakinyo mwanamichezo bora wa mwezi

Bondia Hassan Mwakinyo ametunukiwa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwezi Januari. Utoaji wa tuzo hizo umefanyika jana katika tamasha la…

Soma Zaidi »

Simba waungana na Yanga kifo cha Madega

UONGOZI wa Simba umetoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Iman Madega aliyefariki…

Soma Zaidi »

Njaa yauwa Kaskazini Ethiopia

MTU mmoja kati ya watatu Kaskazini mwa Ethiopia wanakabiliwa na njaa kali, shirika la misaada lenye makao yake makuu nchini…

Soma Zaidi »

Viongozi upinzani Senegal wapinga uchaguzi kuahirishwa

VIONGOZI wa upinzani nchini Senegal wameungana kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi wa rais, mmoja wa wagombea, Anta Babacar, amesema. Takriban wagombea…

Soma Zaidi »

HEET kuboresha miundombinu UDSM

MRADI wa HEET utaboresha miundombinu ya majengo na vifaa vya kujifunzia katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kulingana na…

Soma Zaidi »

‘Ukinunua sukari, dai risiti”

BODI ya Sukari nchini (SBT) imewataka Watanzania kudai risiti wanaponunua sukari kwa bei tofauti na iliyoelekezwa na wachukue hatua kisheria…

Soma Zaidi »

Samaki waanza kupatikana kwa wingi Dar es Salaam

SAMAKI aina ya tasi, jodari, mizia na dagaa mchele wameanza kupatikana kwa wingi katika Soko la Samaki la Kimataifa Dar…

Soma Zaidi »

Chalamila: Tulieni barabara zinarekebishwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewataka wananchi kuwa wavumilivu wakati miundombinu ya barabara iliyoathiriwa na mvua…

Soma Zaidi »

Fellain atundiga daruga

KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Marouane Fellaini ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 36. Mbelgiji huyo, ambaye…

Soma Zaidi »

Wawili wafa mlipuko wa gesi

MLIPUKO wa gesi ulisababisha moto umeuwa watu wawili na kujeruhi zaidi ya 200 katika mji mkuu wa Kenya Nairobi, mamlaka…

Soma Zaidi »
Back to top button