Muziki

Kikwete roho kwatu kwenye muziki

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete amesema yeye ni mpenzi wa muziki na kwamba anapenda kuimba. Akizungumza katika…

Soma Zaidi »

Tamasha kumuenzi Mwalimu Nyerere laja

TAMASHA la kumuenzi Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere, linatarajiwa kufanyika Oktoba 14, 2022 ukumbi wa Diamond Jubilee jijini…

Soma Zaidi »

Nandy ajifungua mtoto wa kike

Msanii huyo ambaye ni mke wa msanii mwingine mahiri nchini William Lyimo ‘Billnass’, ameandika katika ukurasa wake wa instagram akishukuru…

Soma Zaidi »

MARIOO amshukuru Barnaba

MSANII wa Bongofleva, Omar Mwanga ‘Marioo’ amesema, hakuna kitu kigumu kama kushirikiana na wasanii wakubwa kwani mara nyingi wanajiona wako…

Soma Zaidi »

Nay wa Mitego Nay wa Mitego kuibukia A. Kusini

RAPA wa muziki wa Hip hop nchini, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amesema ana mpango wa kwenda Afrika Kusini kufanya…

Soma Zaidi »

TID adai kuteka mashabiki

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’ ametamba kuwa siri kubwa ya kukubalika kwake na mashabiki ni uwezo…

Soma Zaidi »

Ndoa ya Wolper Novemba

MFANYABIASHARA na mbunifu wa mavazi, Rich Mitindo ambaye pia ni mzazi mwenza wa msanii wa filamu, Jaqueline Wolper ameweka wazi…

Soma Zaidi »
Back to top button