Africa

Gesi yaua saba Kenya

WATU saba wamekufa baada ya lori lililobeba gesi kuwaka moto katika eneo Embakasi Nairobi nchini Kenya jana. Taarifa ya Msemaji…

Soma Zaidi »

Mbumba Rais mpya Namibia

RAIS mpya wa Namibia, Nangolo Mbumba leo ameapishwa kuwa rais wa nne wa taifa hilo baada ya rais Hage Geingob…

Soma Zaidi »

Samia atoa pole kifo cha Rais Geingob

DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Kaimu Rais wa Namibia Dk Nangolo Mbumba, mke wa Rais,…

Soma Zaidi »

Rais wa Namibia afariki

WINDHOEK, Namibia: RAIS wa Namibia, Hage Geingob (82) amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Lady Pohamba jijini Windhoek…

Soma Zaidi »

Niger, Burkina Faso, Niger zachukua sura mpya Ecowas

BAADA ya Burkina Faso, Mali na Niger kutangaza kujiondoa ECOWAS, hatua hiyo imezua hisia mbalimbali. Waziri Mkuu wa Burkinabe alihalalisha…

Soma Zaidi »

Walinda amani wa UN kuondoka DR Congo Desemba 2024

WALINDA amani wa Umoja wa Mataifa huko DR Congo wataondolewa wote kufikia Desemba 2024. Umoja wa Mataifa unasema. “Baada ya…

Soma Zaidi »

Wachimba migodi 15 waokolewa Zimbabwe

KIKOSI cha waokoaji jana Jumapili kimewaokoa wachimbaji wote 15 wa mgodi wa kujikimu walionasa chini ya shimo katika mgodi wa…

Soma Zaidi »

Wanafunzi waongezewa likizo hofu ya kipindupindu Zambia

WANAFUNZI wote nchini Zambia watachelewa kwa wiki tatu kurejea shuleni kutoka likizo kutokana na mlipuko wa kipindupindu. Wanafunzi wote wa…

Soma Zaidi »

Miss Namibia autaka urais

MSHINDI wa taji la Miss Namibia mwaka 2022, Cassia Sharpley ametangaza nia ya kugombea urais wa taifa hilo licha ya…

Soma Zaidi »

Kura za wagombea ubunge 82 zafutwa Dr Congo

TUME ya uchaguzi nchini Dr Congo (CENI) imefuta kura zilizopigwa kwa wagombea ubunge 82 kati ya 101,000 katika uchaguzi mkuu…

Soma Zaidi »
Back to top button