Kimataifa

Tetemeko laua 9, mamia wakwama Taiwan

HUALIEN, Taiwan: TAKRIBANI watu tisa wamefariki dunia, huku 1,067 wakijeruhiwa baada ya tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.4 katika…

Soma Zaidi »

Spika wa Bunge Afrika Kusini ajiuzulu

CAPE TOWN, Afrika Kusini: NOSIVIWE Mapisa-Nqakula amejiuzulu rasmi nafasi ya uspika wa Bunge la Afrika Kusini kutokana na tuhuma za…

Soma Zaidi »

Zuma akata rufaa marufuku ya uchaguzi

AFRIKA KUSINI; Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma amewasilisha rufaa dhidi ya Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo,…

Soma Zaidi »

Sonko ateuliwa Waziri Mkuu Senegal

SENEGAL; RAIS mpya wa Senegal Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ousmane Sonko kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo. Sonko mpinzani wa…

Soma Zaidi »

Mtoto aua, ajeruhi wawili kwa risasi

HELSINKI, FINLAND: MTOTO mmoja amefariki na wengine wawili kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la risasi katika shule ya Msingi Viertola iliyopo…

Soma Zaidi »

Papa asikitishwa na vita Gaza, asema silaha hazileti amani

VATICAN CITY, Vatican: KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amesikitishwa na hali ya vita inayoikabili dunia kwa sasa na…

Soma Zaidi »

Viongozi Urusi wataka hukumu ya kifo kwa magaidi

MOSCOW, Urusi: VIONGOZI mbalimbali katika serikali ya Urusi chini ya Rais Vladimir Putin wametoa pendekezo la kurudishwa kwa sheria ya…

Soma Zaidi »

Diana Ross miaka 80 rekodi yake inatisha

Mwimbaji na Muigizaji mkongwe nchini Marekani Diana Ross, leo  anasheherekea  siku yake ya  kuzaliwa.  Alizaliwa Machi 26 , 1944 huko…

Soma Zaidi »

Mwigizaji mwingine nguli Nigeria afariki dunia

NIGERIA: Abuja. MUIGIZAJI, mtayarishaji na muongozaji wa filamu mkongwe nchini Nigeria Amaechi Muonagor, amefariki dunia baada ya kuugua figo, kisukari…

Soma Zaidi »

Wapandishwa kortini tukio la ugaidi Urusi

MOSCOW, Russia: The Russian COURT has indicted four people on suspicion of carrying out an attack on a theater in…

Soma Zaidi »
Back to top button