Kimataifa

‘Malkia ataendelea kukumbukwa kwa upole wake’

RAIS wa Marekani, Joe Biden, ameandika katika ukurasa wake wa Twitter, akisema Malkia Elizabeth II wa Uingereza, ataendelea kukumbukwa kwa…

Soma Zaidi »

Shime Tanzania, Uganda bomba la mafuta liendelee

SEPTEMBA 15,mwaka huu, Bunge la Umoja wa Ulaya lilipitisha azimio la kutaka kulazimisha Uganda, Tanzania na Kampuni ya mafuta ya…

Soma Zaidi »

Dunia kushuhudia mazishi ya Malkia leo

RAIS Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi wa mataifa mbalimbali katika mazishi ya Malkia Elizabeth II wa Uingereza. Samia ambaye…

Soma Zaidi »

Rais Samia afanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi, Msajili

RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Mhandisi Othman Sharif Khatib ambaye anakwenda kuwa mwenyekiti wa Mamlaka…

Soma Zaidi »

Viongozi wa Dunia waelekea London kwa mazishi ya Malkia

MAELFU ya askari, mamia ya wanajeshi na jeshi la maafisa wamefanya maandalizi ya mwisho Jumapili ya mazishi ya Malkia Elizabeth II…

Soma Zaidi »

Rais Samia awasili London kushiriki maziko ya Malkia Elizabeth II

RAIS Samia Suluhu Hassan amewasili jijini London, Uingereza kwa ajili ya kushiriki shughuli rasmi ya msiba wa Malkia Elizabeth II…

Soma Zaidi »

Vita vya Ukraine: Putin adai “Hatuna haraka”

RAIS wa Urusi Vladimir Putin amesema hakuna haraka katika operesheni yake nchini Ukraine na ameonya kwamba Moscow inaweza kuzidisha mashambulizi…

Soma Zaidi »

Ujerumani yachukua udhibiti wa kampuni 3 za mafuta za Urusi

UJERUMANI imechukua udhibiti wa viwanda vitatu vya kusafisha mafuta vinavyomilikiwa na Urusi nchini humo ili kuhakikisha usalama wa nishati kabla…

Soma Zaidi »

Watanzania wanaosoma China waonywa ulevi, ‘unga’

UBALOZI wa Tanzania nchini China, umewataarifu wanafunzi wote wa Tanzania wanaosoma nchini humo kuwa mipaka iko wazi na wanaweza kurejea…

Soma Zaidi »

ATCL yapunguza nauli wanaosoma China

SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL), imepunguza gharama za safari zao za ndege kwa wanafunzi wanaosafiri kutoka Tanzania kwenda China kutoka…

Soma Zaidi »
Back to top button