Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Simba, Yanga zashindana kushusha vyuma!

DAR ES SALAAM; MIAMBA ya soka nchini Simba na Yanga inaendelea kushindana katika kutangaza wachezaji wapya ziliowasajili kwa msimu ujao…

Soma Zaidi »

Andy Boyeli amesajiliwa Yanga bwana!

Dar es Salaam; Andy Boyeli  rasmi ni mwananchi. Mshambuliaji huyo raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ametambulishwa usiku…

Soma Zaidi »

Vicky Kamata atoswa Geita

GEITA : MWANAMUZIKI Mkongwe nchini aliyewahi kutamba na kibao cha 'Wanawake na Maendeleo', Vicky Kamata ameshika nafasi ya nne kati…

Soma Zaidi »

Simba watambulisha kitasa kutoka Mamelodi

DAR ES SALAAM; SIMBA imeanza kutambulisha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali mwaka 2025/26 na usiku…

Soma Zaidi »

Simba yadhaminiwa kwa Sh Bil.20

DAR ESSALAAM; KLABU ya Simba ya Dar es Salaam, imeingia mkataba wa udhamini wa Sh bil 20 kwa miaka mitatu…

Soma Zaidi »

Kasharunga FC yatwaa ubingwa Miamia Cup

MULEBA: Timu ya Kasharunga FC imetwaa ubingwa na kujishindia kitita cha Sh milioni 10 baada ya ushindi dhidi ya Muhalila…

Soma Zaidi »

Waamuzi Tanzania wafuatilie, wajifunze kwa wenzao CHAN

MICHUANO ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (CHAN 2024) inatarajiwa kuanza Agosti 2, mwaka huu. Mataifa…

Soma Zaidi »

Nyie Simba hiyo namba 6 mtaua watu kwa presha!

DARES SALAAM; MUDA mfupi baada ya usiku huu klabu ya Yanga Yanga ya Dar es Salaam kutambulisha usajili mpya wa…

Soma Zaidi »

Lassine Kouma ni mwananchi!

DARES SALAAM; YANGA ya Dar es Salaam imemtambulisha usiku huu kiungo wa boli kutoka Stade Malien ya Mali Lassine Kouma…

Soma Zaidi »

Brian Ogana balozi mpya Kenya Police FC

KENYA: KATIKA hatua ya kihistoria, Klabu ya Soka ya Kenya Police imemtangaza rasmi muigizaji maarufu na mtu wa umaarufu, Brian…

Soma Zaidi »
Back to top button