Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Taifa Stars kuvuna bil 1/- ikitwaa CHAN 2024

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutoa zawadi ya sh bilioni moja kwa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, iwapo…

Soma Zaidi »

Mke wa Jota kumuenzi mumewe Jota

LISBON : MKE wa mshambuliaji wa Liverpool, Diogo Jota, Rute Cardoso, ameadhimisha mwezi mmoja tangu kufunga ndoa na mchezaji huyo,…

Soma Zaidi »

Mchezaji gofu ashinda mil 6.8/- mashindano Gymkhana

Mashindano ya Gofu kwa ajili ya kumuenzi mchezaji wa zamanı wa timu ya taifa ya wanawake ya gofu, marehemu Lina…

Soma Zaidi »

Simba wanapitia makubwa nyie!

DAR ES SALAAM; SIMBA wanapitia makubwa nyie basi tu! Pengine hivyo ndivyo unavyoweza kuzungumzia hali ya mashabiki wa klabu ya…

Soma Zaidi »

Balla Conte ni mwananchi bwana!

DAR ES SALAAM; KLABU ya Yanga imethibitisha rasmi kuwa kiungo Moussa Balla Conte raia wa Guinea anayechezea timu ya CS…

Soma Zaidi »

Arusha Warriors yaahidi makubwa soka walemavu

TIMU ya Arusha Warriors imekusudia kufanya vizuri katika mashindano ya soka kwa walemavu yatakaoanza Julai 17 hadi 19 katika uwanja…

Soma Zaidi »

Msimu mpya wa soka hapatoshi!

DAR ES SALAAM: Msimu mpya wa soka wa 2025/2026 umefika, na kauli mbiu ni moja tu – “It’s On!” Moto…

Soma Zaidi »

Mtoto wa mwanariadha ajitosa urais SRT

ARUSHA: KATIBU Mkuu wa Chama Cha Riadha Mkoa wa Arusha (RT) Rogath Stephen ni miongoni mwa wagombea wa nafasi ya…

Soma Zaidi »

Watu 1,000 kushiriki Mbio za Nyuki kesho

ARUSHA: Msimu wa pili wa mbio za Nyuki Marathon unatarajia kuvuta zaidi ya washiriki 1000 ambao watakimbia Jumapiĺi hii katika…

Soma Zaidi »

Dar wapewa somo kuelekea CHAN

DAR ES SALAAM;  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa wito kwa taasisi na wadau wote kuhakikisha…

Soma Zaidi »
Back to top button