Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali: Tumejipanga Stars kung’ara Afcon 2027

DODOMA; Serikali imesema imejipanga kuhakikisha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ haishiriki tu, bali inashindana kwa kiwango cha juu…

Soma Zaidi »

Serikali yatoa kauli dabi ya Kariakoo

DODOMA; LILE sakata la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba limechukua sura mpya, baada ya…

Soma Zaidi »

Geita wapigia mstari tamko la wazee Yanga

GEITA: UMOJA wa Matawi ya wanachama wa klabu ya Yanga mkoani Geita wamesema wanaunga mkono tamko la Baraza la Wazee…

Soma Zaidi »

Kombe la Mapung’o kuinua vipaji vya soka Geita

MDAU wa maendeleo mkoani Geita, Paschal Mapung’o amejitosa kudhamini mashindano ya mchezo wa soka katika kata ya Nyakagwe wilayani Geita…

Soma Zaidi »

Soka la ufukweni lajipanga mashindano CECAFA

DAR ES SALAAM: KOCHA wa timu ya taifa ya soka la ufukweni, Jaruph Rajabu, amesema maandalizi kuelekea mashindano ya Baraza…

Soma Zaidi »

‘Changamoto 22 Muungano zimepatiwa ufumbuzi’

DODOMA; SERIKALI imesema jumla ya changamoto 22 za Muungano zimepatiwa ufumbuzi. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo na Naibu Waziri Ofisi…

Soma Zaidi »

Halmashauri ya Wilaya Geita kinara mashindano ya Umitashumta

GEITA: HALMASHAURI ya wilaya ya Geita imetangazwa kuwa mshindi wa jumla wa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule…

Soma Zaidi »

Hili pia tumelikosa dah!

MANYARA; HILI tunabeba! Ilikuwa kaulimbiu ya Simba kuelekea mchezo wa fainali Kombe la Shirikisho la Afrika dhidi ya RS Berkane…

Soma Zaidi »

Simba yamewakuta huko!

MANYARA; MCHEZO wa Nusu Fainali Kombe la Shirikisho la CRDB umemalizika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Manyara. Singida Black Stars imeibugiza…

Soma Zaidi »

Mwisho wa majigambo Ulaya leo

FAINALI ya kibabe ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL) kati ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa na Inter…

Soma Zaidi »
Back to top button