Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mgombea urais TFF aomba uchaguzi usimamishwe

DAR ES SALAAM; MGOMBEA urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Shija Richard anatarajia kuwasilisha barua rasmi Baraza…

Soma Zaidi »

Ufunguzi CHAN kufanyika Dar

UFUNGUZI wa mashindano ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2025 utafanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Shirikisho…

Soma Zaidi »

“Uchaguzi Mkuu uwape kipaumbele wanaothamini michezo”

IRINGA: Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga, amewataka Watanzania kuhakikisha uchaguzi mkuu ujao wa Oktoba 2025 unazaa…

Soma Zaidi »

Yanga, Simba ng’adu kwa ng’adu kileleni

MBEYA:  MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2025/26 kati ya Yanga na Simba zinazidi kunoga…

Soma Zaidi »

Watanzania waalikwa mbio za Great Ruaha

IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, amewataka wananchi wa Iringa na Watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kujiandikisha…

Soma Zaidi »

CTIDO mabingwa wa ligi wilaya Arusha

ARUSHA: TIMU ya CTIDO imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi ya Wilaya ya Arusha baada ya kuisambaratisha timu ya Uhasibu Academy…

Soma Zaidi »

Mvutano wa Kariakoo Derby wazua mabadiliko makubwa TPLB

DAR ES SALAAM — Katika kile kinachoonekana kuwa ni matokeo ya mvutano mkali kuhusu upangaji wa mechi ya Kariakoo Derby,…

Soma Zaidi »

Arusha mguu sawa UMISSETA Taifa

ARUSHA: MKOA wa Arusha umekamilisha maandaalizi yake kwa ajili ya mashindano ya kitaifa ya Umoja michezo kwa shule za Sekondari…

Soma Zaidi »

Kriketi wanawake watinga nusu fainali Kwibuka

TIMU ya taifa ya wanawake ya kriketi ya Tanzania imetinga nusu fainali katika mashindano ya Kwibuka nchini Rwanda kwa ushindi…

Soma Zaidi »

Dabi ya Kariakoo yagusa wabunge

DAR ES SALAAM; MCHEZO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba uliopangwa kufanyika wikiendi hii Uwanja wa…

Soma Zaidi »
Back to top button