Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Majaliwa awapongeza Yanga

DODOMA — Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepongeza mchango wa michezo nchini huku akizitaja klabu za Yanga na Simba, pamoja na…

Soma Zaidi »

Kivumbi mtoano kubaki Ligi Kuu leo

MCHEZO wa kwanza wa mtoani kuwania kubaki Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Fountain Gate na Tanzania Prisons unapigwa leo…

Soma Zaidi »

Yanga bingwa 2024/25

DAR ES SALAAM; YANGA imetetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa mwaka 2024/25, baada ya leo kuibuka na…

Soma Zaidi »

Mnyama yupo bwana!

DAR ES SALAAM; HATIMAYE Simba imewapa faraja mashabiki wa mpira waliokuwa na hofu kuhusu mchezo wa leo Ligi Kuu Tanzania…

Soma Zaidi »

Wanamichezo sita wapigana vikumbo urais TFF

DAR ES SALAAM; WANAMICHEZO sita wamejitokeza kuwania urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unaotarajiwa kufanyika Agosti 16,…

Soma Zaidi »

Dar Star bingwa Samia, soka bonanza

DAR ES SALAAM: TIMU ya soka ya Dar Star ya Ilala imeibuka mabingwa Bonanza maalum la kuwapongeza Rais Samia Suluhu…

Soma Zaidi »

Moto utawaka Yanga v Simba

DAR ES SALAAM; MWAMUZI Amin Mohamed Omar wa Misri aliyetangazwa kuchezesha mechi ya watani Yanga v Simba Jumatano wiki hii…

Soma Zaidi »

Waamuzi Yanga v Simba wanatoka Misri

DAR ES SALAAM; MWAMUZI Amin Mohamed Omar kutoka nchini Misri atasimamia sheria zote za soka katika pambano la watani wa…

Soma Zaidi »

Taasisi yafanikisba bonanza ‘Asante Mama Super Cu’

DAR ES SALAAM: TAASISI ya KIK Football Foundation kwa kushirikiana na mdhamini mkuu State Group Holdings Ltd wamefanikisha Bonanza la…

Soma Zaidi »

Mgombea urais TFF aomba uchaguzi usimamishwe

DAR ES SALAAM; MGOMBEA urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Shija Richard anatarajia kuwasilisha barua rasmi Baraza…

Soma Zaidi »
Back to top button