Bunge

Mwanyika, Mhagama wapitishwa uenyekiti Bunge

DODOMA; Bunge la Tanzania leo limeridhia na kuwapitisha wenyeviti wapya wa bunge waliopendekezwa na Kamati ya Uongozi ya Bunge. Wiki…

Soma Zaidi »

Barabara korofi zatengewa bajeti Iringa

DODOMA; Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Zainabu Katimba amesema serikali imeshaanza kujenga barabara korofi ya Ilula Image na Ibumu…

Soma Zaidi »

‘Vitambulisho vya Nida vitolewe mapema waishio mipakani’

DODOMA; Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi, Mhandisi Ezra Chiwelesa ameiomba serikali kuharakisha utoaji wa vitambulisho vya uraia (NIDA) kwa…

Soma Zaidi »

Mbunge alia na mafao kwa wastaafu

DODOMA; Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA Ester Bulaya, amesema bado kuna malalamiko mengi ya watumishi wa umma kuhusu malipo…

Soma Zaidi »

Mbunge ataka wakulima korosho waboreshewe mazingira

DODOMA; Mbunge wa Jimbo la Nanyumbu Yahya Mhata, ameishauri serikali kuboresha mazingira wezeshi kwa wakulima wa korosho ili waweze kuzalisha…

Soma Zaidi »

Filamu ya Amazing Tanzania kuzinduliwa Mei

DODOMA; Tanzania imepanga kuzindua filamu nyingine ya kutangaza vivutio vya utalii ili kuendelea kutangaza utalii wa Tanzania Bara na Zanzibar.…

Soma Zaidi »

Dar kusambaziwa nishati ya gesi asilia

DODOMA; NAIBU Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema serikali ina mpango wa kusambaza nishati ya gesi asilia kwa wakazi wa…

Soma Zaidi »

Hatua zilizofikiwa miradi 8 ya kielelezo zatajwa

DODOMA; WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetumia sh. trilioni 10.69 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisasa kwa…

Soma Zaidi »

Upatikanaji maji safi vijijini wafikia asilimia 79

DODOMA; SERIKALI imesema hadi kufikia Februari 2024, hali ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika maeneo ya…

Soma Zaidi »

Sh Tril 10 .6 zatumika ujenzi SGR

DODOMA. SERIKALI imesema jumla ya shilingi trilioni 10.69 zimetumika kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha…

Soma Zaidi »
Back to top button