Bunge

Mambo yaiva ujenzi daraja Jangwani

DODOMA; Utekelezaji wa ujenzi wa Daraja la Jangwani jijini Dar es Salaam lenye urefu wa mita 390 unatarajiwa kuanza mwaka…

Soma Zaidi »

Bashungwa aja na vipaumbele 9 ujenzi

DODOMA; WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewasilisha bajaeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024/2025 yenye vipaumbele tisa. Akiwasilisha…

Soma Zaidi »

Wabunge wapitisha bajeti Mambo ya Nje

DODOMA; WABUNGE wamepitisha bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Mapema leo Waziri wa Mambo…

Soma Zaidi »

Ndugulile awania ukurugenzi Shirika la Afya Duniani

DODOMA; Mbunge wa Kigamboni, Dk Faustine Ndugulile, amejitokeza kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kwa Kanda ya…

Soma Zaidi »

Mambo ya Nje waomba bajeti Sh Bil 241

DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imeomba kuidhinishiwa jumla ya Sh 241,069,232,000 kwa Mwaka wa…

Soma Zaidi »

Diaspora wamwaga fedha uwekezaji Tanzania

DODOMA; SERIKALI imesema mwamko wa Diaspora katika kuchangia maendeleo ya Taifa umeendelea kuongezeka. Kauli hiyo imetolea na Waziri wa Mambo…

Soma Zaidi »

Makamba aanika vipaumbele 5 Mambo ya Nje

DODOMA; Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ametaja vipaumbele vitano vya wizara hiyo katika…

Soma Zaidi »

Mbunge ataka punguzo la kodi vifaa vya mazoezi

MBUNGE wa Viti Maalum, Sylvia Sigula amehoji bungeni kama serikali haioni haja ya kupunguza kodi kwenye vifaa vya mazoezi kwa…

Soma Zaidi »

Wabunge wapitisha bajeti Wizara ya Ardhi

DODOMA; WABUNGE leo Juni 27, 2024, wamepitisha makadirio ya mapato na matumizi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…

Soma Zaidi »

Waziri Silaa ang’ata mapapa wa ardhi

DODOMA; WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amehitimisha mjadala wa hotuba ya makadirio ya bajeti ya…

Soma Zaidi »
Back to top button