Bunge

Laini za simu milioni 72.5 zimesajiliwa

DODOMA: WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Sekta ya Mawasiliano imeendelea kukua ambapo takwimu zinaonesha…

Soma Zaidi »

Nape akiwasilisha bajeti leo

DAR ES SALAAM; Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi…

Soma Zaidi »

Siku 5 zaongezwa kuomba ajira Polisi

DODOMA; WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeongeza siku tano kwa watu kuomba ajira kwenye Jeshi la Polisi baada…

Soma Zaidi »

Sh bil 11 zalipa walioathirika na wanyama waharibifu

DODOMA; Serikali imelipa zaidi ya bilioni 11 kama kifuta jasho na kifuta machozi kuanzia Mwaka wa fedha 2017/2018 hadi Machi,…

Soma Zaidi »

‘Zimebaki rada mbili tu kufikia lengo la serikali’

DODOMA: MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imekamilisha ufungaji wa rada za hali ya hewa katika Mkoa wa Kigoma…

Soma Zaidi »

Uchukuzi, Elimu, Maji kuwasilisha bajeti wiki hii

DODOMA; WIZARA ya Uchukuzi leo inatarajiwa kuwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/25. Wiki hii…

Soma Zaidi »

Bashe awasilisha makadirio bajeti 2024/2025

DODOMA: Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka…

Soma Zaidi »

Barabara kufungwa kwa saa 3 kupisha mazoezi

DODOMA; Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa amesema Barabara ya fukwe ya Coco Beach kuelekea Daraja la Tanzanite, Agha Khan hadi Ocean Road…

Soma Zaidi »

‘Sheria ipo kuzuia uvutaji sigara hadharani’

DODOMA: WIZARA ya Afya imesema tayari bunge limepitisha Sheria ya Udhibiti wa Tumbaku ijulikanayo kama “The Tobacco Products (Regulation) Act,…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Mvua zitaendelea hadi Mei

DODOMA: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kulingana na utabiri wa hali ya hewa unaonesha kuwa mvua za masika zitaendelea kunyesha…

Soma Zaidi »
Back to top button