Diplomasia

Mambo mazuri ushirikiano Tanzania, Saudi Arabia

DODOMA: MAKAMU WA Rais, DK Philip Mpango amesema uhusiano baina ya Tanzania na Saudi Arabia unaendelea kuimarika kwa mataifa hayo…

Soma Zaidi »

Umeme maporomoko Rusumo wafikia asilimia 99.9

MWANZA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuwa, mradi wa maporomoko ya umeme wa Rusumo…

Soma Zaidi »

Tanzania yapewa 5 kinara kurejesha Amani DRC, ICGLR

DAR ES SALAAM: Serikali ya Tanzania imepongezwa kwa kuendelea kuwa mstari wa mbele kurejesha amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya…

Soma Zaidi »

Thamani biashara Tanzania, Kenya ipo juu

KENYA; Nairobi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amesema thamani ya biashara kati ya…

Soma Zaidi »

Wananchi wa Tanzania, Kenya ni ndugu

KENYA; Nairobi; TANZANIA imeahidi kuendelea kushirikiana na Kenya katika kukuza na kuimarisha uhusiano baina ya nchi hizo. Kauli hiyo imetolewa…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi amuwakilisha Samia Jamhuri Day

KENYA; Nairobi. RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki maadhimisho ya miaka 60…

Soma Zaidi »

Dubai waadhimisha Siku ya Mtanzania

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dk. Selemani Jafo ameshiriki hafla maalum ya Maadhimisho ya…

Soma Zaidi »

Ujerumani yatoa neno ushirikiano na Tanzania

UJERUMANI: Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani ,Frank Walter Steinmeier amesema Serikali yake itaendelea kuunga mkono jitihada za maendeleo…

Soma Zaidi »

Tanzania, Uturuki kimeeleweka

DAR ES SALAAM: TANZANIA itaendelea kushirikiana na Uturuki kuimarisha uhusiano uliopo kwa manufaa ya pande zote mbili. Hayo yamesemwa leo…

Soma Zaidi »

Fursa za aina yake zajadiliwa Tanzania na Romania

DAR ES SAALAM: Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania na Romania wamekubaliana kuongeza wigo wa ufadhili wa masomo hususani katika…

Soma Zaidi »
Back to top button