Dini

Serikali yakabidhi vitabu elimu ya dini kidato cha tano

SERIKALI imesema maboresho ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na Mitaala imezingatia umuhimu wa…

Soma Zaidi »

Taasisi yasisitiza kujiandikisha daftari la kupira kura

MSEMAJI Wa Taasisi ya Dini ya Kiislam ya Twarika Kitengo Cha Idara Ya Habari, Shekhe Harun Hussein amewaomba wananchi wote…

Soma Zaidi »

Serikali, madhehebu ya dini kushirikiana maendeleo

SERIKALI imesema itaendelea kushirikiana na madhehebu ya dini katika kuwaletea wananchi maendeleo. Akizungumza leo wilayani Tandahimba mkoani Mtwara wakati wa…

Soma Zaidi »

Al Ameen Foundation yasaidia wenye ulemavu

DAR ES SALAAM; TAASISI  ya Al  Ameen Foundation yenye makao makuu Kijitonyama, Dar es Salaam imetoa msaada wa vitimwendo 50…

Soma Zaidi »

Askofu Mameo aisifu Afrika kutoa marais wanawake

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Morogoro , Jacob Ole Mameo  amewataka wanawake wa Umoja…

Soma Zaidi »

MIL 272/- kumaliza ujenzi ofisi jimbo katoliki Bunda

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameshiriki Misa Takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Paulo na kuongoza harambee ya kumalizia ujenzi wa…

Soma Zaidi »

Waahmadiyya wasisitiza amani, maadili

PAMOJA na kutokuwa na malengo yoyote ya kisiasa wala ya kibiashara, Jumuiya ya Waislamu Waahmadiyya inawataka waumini wake kuwa raia…

Soma Zaidi »

Askofu Mdegela ahofia ongezeko la makanisa Iringa

ASKOFU Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Iringa, Profesa Owdenburg Mdegela, amemuomba Mkuu wa Wilaya…

Soma Zaidi »

Mwimbaji wa Injili Rwanda kutumbuiza Tanzania

MWIMBAJI wa nyimbo za Injili kutokea nchini Rwanda, Israel Mboni anayetamba na wimbo wake wa ‘Nina Siri’ ametua nchini tayari…

Soma Zaidi »

Serikali kuendelea kuimarisha uhuru wa kuabudu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amesema serikali itaendelea kuimarisha uhuru wa kuabudu…

Soma Zaidi »
Back to top button