Dodoma

Kamati kutathmini hali vyombo vya habari yaundwa

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ameunda kamati ya watu tisa ya kutathmini vyombo vya habari…

Soma Zaidi »

Laini zisizohakikiwa kufungiwa Feb.13

SERIKALI imetangaza kuzifungia laini za simu ambazo hazijahakikiwa ifikapo Februari 13, 2023. Akizungumza leo Januari 24, 2023 Waziri wa Habari,…

Soma Zaidi »

Serikali: Hatuachi mtu bima ya afya kwa wote

SERIKALI imesisitiza kwamba hakuna Mtanzania yeyote atakayeachwa nyuma katika suala la bima ya afya kwa wote, huku ikisisitiza watu wote…

Soma Zaidi »

Serikali yashtukia shahada za ‘ujanja ujanja’

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameitaka bodi mpya ya Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) idhibiti utoaji…

Soma Zaidi »

Watahiniwa 613 wafaulu mitihani Bodi ya Ununuzi na Ugavi

WATAHINIWA 613 kati  ya 1,136 waliofanya mitihani ya Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi wamefaulu,watahiniwa 48 wamefeli na 474…

Soma Zaidi »

‘Pelekeni mifugo majosho ya serikali’

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Khamis Hamza Chilo, amewataka wafugaji wote nchini kupeleka…

Soma Zaidi »

Serikali yachunguza tuhuma ulawiti shuleni

SERIKALI imetuma timu maalum kwenda mkoani Kilimanjaro kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo vya ulawiti katika baadhi ya shule mkoani…

Soma Zaidi »

Majaribio SGR Dar- Moro mwezi ujao

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limesema linatarajia mwezi ujao, kuanza majaribio ya kutoa huduma katika Reli ya Kisasa (SGR) kati…

Soma Zaidi »

Ndege mpya 5 ATCL kuwasili mwaka huu

NDEGE mpya 5 zilizonunuliwa na serikali zinatarajiwa kuwasili nchini mwaka huu 2023, ili kuendelea kuimarisha zaidi Shirika la Ndege nchini…

Soma Zaidi »

Msigwa: Miradi Dodoma haijasimama

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema kuwa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Mkoa wa Dodoma inaendelea vizuri. Msigwa pia…

Soma Zaidi »
Back to top button