Fursa

Wajasiriamali washauriwa kutumia fursa soko EAC

KAIMU Katibu wa Wajasiriamali Taifa na Mwenyekiti wa Wajasiriamali Wanawake Mkoa wa Arusha, Husna Almasy amewataka wajasiriamali nchini kuchangamkia soko…

Soma Zaidi »

Wanafunzi wafundwa kujiajiri

WANAFUNZI nchini watakiwa kutumia elimu wanayopata vyuoni na vipawa walivyonavyo kujiajiri. Hayo yamesemwa na Naibu Mkuu wa Chuo cha Ustawi…

Soma Zaidi »

Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa nishati safi

DAR ES SALAAM: WANAWAKE nchini wamehamasishwa kuchangamkia fursa zitokanazo na nishati safi ya kupikia, ikiwamo ya utengenezaji wa majiko banifu…

Soma Zaidi »

Wajasiriamali Afrika wahimizwa uwekezaji utalii

WAJASILIAMALI wadogo na kati kutoka barani Afrika wamehimizwa kuwekeza Tanzania hususan sekta ya utalii kwani ndio sekta yenye uhakika wa…

Soma Zaidi »

Mradi wa REST wawafikia vijana wa mkoani Iringa

MKOA wa Iringa umepata msukumo mpya kupitia Shirika la DSW Tanzania, ambalo kwa kupitia mradi wake wa REST (Reproductive Equity…

Soma Zaidi »

Mikindani watakiwa kujitokeza mafunzo ufundi stadi

RAI imetolewa kwa vijana katika Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, wajitokeze kwa wingi kwenye mafunzo yatayotolewa bure kwa vijana…

Soma Zaidi »

Umri wanaostahili mkopo wasogezwa hadi 45

OFISA Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Robert Kwela amesema kundi la vijana wanaotakiwa kupata mkopo…

Soma Zaidi »

Wanawake wasifu fursa za korosho Mtwara

BAADHI ya wajasiliamali wanawake wanaojishughulisha na biashara mbalimbali eneo la ghala ya kuhifadhia korosho ghafi (OLAM) Manispaa ya Mtwara Mikindani…

Soma Zaidi »

Balozi azindua kituo mafunzo ya kilimo

BALOZI wa Hispania nchini Tanzania, Jorge Moragas, amezindua kituo maalum cha mafunzo kwa wakulima wadogo wilayani Iringa, ambacho kimepangwa kuanza…

Soma Zaidi »

Serikali yazidisha fursa wataalam wa ujenzi

SERIKALI imeendelea kuwajengea uwezo Wataalamu wa ndani wa kada mbalimbali nchini ikiwemo ya ubunifu majengo na ukadiriaji majenzi kwa kuwashirikisha…

Soma Zaidi »
Back to top button